Ni kwa namna gani ndoa itakuwa chachu ya mafanikio katika maisha hasa kwa vijana.

Ni kwa namna gani ndoa itakuwa chachu ya mafanikio katika maisha hasa kwa vijana.

Hata kwetu zamani ilikuwa hivyo, kwanza mahari tu tulikuwa tunasaidiwa kulipa, ng'ombe wanne, sukari/pombe, wazee walihakikisha wanakusaidia kulipa. Leo hii nani atakusaidia hayo, ukiamua kuoa jipange kuanzia mahari hadi kuanza maisha.

Ila i believe in working together, wangapi walisema wataoa baada ya kupata hiki na kile, lakini hadi wanagota 35-40 maisha yao hayajabadilika kwa kiasi kikubwa na ndoa bado hawana.
I do believe too.

ila sio kwa kijana asiye na "ramani". Wakati ule sio wa leo.

Women know to desrespect a jobless man.
 
NGOJA NIWEKE MAMBO KWENYE MSTARI HASA KIUCHUMI MAANA MKE HAITAJI GOOD SEX TU
ANATAKA KULA VIZURI TENA MILO YOTE MITATU, KUVAA VIZURI, KULALA PAZURI, KWENDA SALOON NA SHOW OFF KWA MASHOGA ZAKE
 
Vijana hatupendi kuishi uhalisia tunaishi ki nadharia hapo ndo tatizo linapoanzia ! Tuna date wanawake wako fake kwa kila idara nasi tunakuwa fake kwa kila kitu ili tuendane nao! Nao muda unaenda pia!
 
Hata kwetu zamani ilikuwa hivyo, kwanza mahari tu tulikuwa tunasaidiwa kulipa, ng'ombe wanne, sukari/pombe, wazee walihakikisha wanakusaidia kulipa. Leo hii nani atakusaidia hayo, ukiamua kuoa jipange kuanzia mahari hadi kuanza maisha.

Ila i believe in working together, wangapi walisema wataoa baada ya kupata hiki na kile, lakini hadi wanagota 35-40 maisha yao hayajabadilika kwa kiasi kikubwa na ndoa bado hawana.
Mwingine unakuta kahangaika angalau kasogea ila sasa kuoa kunakuwa mtihani. Hapo unakuta alishapishana na potential wife wake wakati anajifanya busy na life.
 
Bonny hajawai nifanya kujuta..... Nahisi tulikutana wakat sahih
Huyu atakuwa Bonny tu.

Asingekuwa na chochote usingekubali akuoe? unadhani mlikutana wakati sahihi au mnatamani mngekutana zamani zaidi!
 

maanake tunachallenge
Kwa hiyo mkuu unashauri vijana tuoe kwenye 40s?

Ila mbona folks wanasema "successful man" there is a woman behind??

Daby usisikilize ushauri wa watu ambao wana negative attitude kuhusu ndoa..........

huyo mkaka haelewi Mungu ametuwekea muda,ukioa na miaka 40 utapata wapi nguvu za kulea familia yako...??

yaani mwanao anaingia chuo mwaka wa kwanza wewe una miaka 60..

au,wenzako wanakula pension wewe unahangaika na diapers!

nani kakuambia ukiwa na familia huwezi kupanga maendeleo,,?ukipata mtu mnaelewana ni blessing trust me chochote mnachoanza nacho kinakua strengthern....

familia tajiri zaidi duniani ni ya Rockawella(sijui kama nimepatia jina) ....lols
 
Mwingine unakuta kahangaika angalau kasogea ila sasa kuoa kunakuwa mtihani. Hapo unakuta alishapishana na potential wife wake wakati anajifanya busy na life.
Ni kweli, ila kuna kingine huwa nakiona, mtu akifanikiwa sana kabla ya kuoa haoni thamani ya ndoa kivile. Hata huyo mke akiingia ndani anakuwa sehemu ya assets tu

Wengine wakifanikiwa kimaisha wanaoa ili kutimiza tu wajibu.
 
maanake tunachallenge



Daby usisikilize ushauri wa watu ambao wana negative attitude kuhusu ndoa..........

huyo mkaka haelewi Mungu ametuwekea muda,ukioa na miaka 40 utapata wapi nguvu za kulea familia yako...??

yaani mwanao anaingia chuo mwaka wa kwanza wewe una miaka 60..

au,wenzako wanakula pension wewe unahangaika na diapers!

nani kakuambia ukiwa na familia huwezi kupanga maendeleo,,?ukipata mtu mnaelewana ni blessing trust me chochote mnachoanza nacho kinakua strengthern....

familia tajiri zaidi duniani ni ya Rockawella(sijui kama nimepatia jina) ....lols
Hapa umetuchoma sindano za moto tuliooa kwenye 30's...
 
Mwingine unakuta kahangaika angalau kasogea ila sasa kuoa kunakuwa mtihani. Hapo unakuta alishapishana na potential wife wake wakati anajifanya busy na life.
"Kuna wale wanapigana na maisha mwisho hawafaikiwi mafanikio anayoyabakiza ni kuoa tena kwa kuitwa na ndugu zake kijijini"

hawa nao vipi?

Hatuchekani tunakumbushana.
 
Hapa umetuchoma sindano za moto tuliooa kwenye 30's...

mimi mbona niko kwenye late 30 na sina ndoa,you can not go faster than ambavyo Mungu amekupangia,lol,wewe kazana kuengeneza happy home,hii ya kuwahi kuoa isiifikirie saana...😉😉😉
 
maanake tunachallenge



Daby usisikilize ushauri wa watu ambao wana negative attitude kuhusu ndoa..........

huyo mkaka haelewi Mungu ametuwekea muda,ukioa na miaka 40 utapata wapi nguvu za kulea familia yako...??

yaani mwanao anaingia chuo mwaka wa kwanza wewe una miaka 60..

au,wenzako wanakula pension wewe unahangaika na diapers!

nani kakuambia ukiwa na familia huwezi kupanga maendeleo,,?ukipata mtu mnaelewana ni blessing trust me chochote mnachoanza nacho kinakua strengthern....

familia tajiri zaidi duniani ni ya Rockawella(sijui kama nimepatia jina) ....lols

Rockefeller.

Nimekupa hakika.
 
Kwa hiyo mkuu unashauri vijana tuoe kwenye 40s?

Ila mbona folks wanasema "successful man" there is a woman behind??
1. Nimesema usioe mapema sijasema/shauri uoe kwenye 40+. (soma kwa makini na uelewe).

2. Ilibidi uwaulize hao unaowaita folks huyo woman aliye behind successful man ni nani?

Je kama ni mama ake, shangazi, dada, mfanya kazi wake?
 
maanake tunachallenge



Daby usisikilize ushauri wa watu ambao wana negative attitude kuhusu ndoa..........

huyo mkaka haelewi Mungu ametuwekea muda,ukioa na miaka 40 utapata wapi nguvu za kulea familia yako...??

1. Ni sehemu gani Mungu ametuwekea muda wa kuoa? Unaweza nipa kifungu katika biblia?

2. Unasema utapata wapi nguvu ya kulea familia, ivi hamna watu wenye familia zao na hawana ndoa?

Nijibu tuendelee.
 
"Kuna wale wanapigana na maisha mwisho hawafaikiwi mafanikio anayoyabakiza ni kuoa tena kwa kuitwa na ndugu zake kijijini"

hawa nao vipi?

Hatuchekani tunakumbushana.
Hahahaaaaa!!! Ndugu wanakuita na kukupatia mke.
 
1. Ni sehemu gani Mungu ametuwekea muda wa kuoa? Unaweza nipa kifungu katika biblia?

2. Unasema utapata wapi nguvu ya kulea familia, ivi hamna watu wenye familia zao na hawana ndoa?

Nijibu tuendelee.

1.mnh unadhani kwa nini ukomo wa mwanamke kuzaa ni miaka 45,hii biological clock nani kaiweka na kwa nini?

2.nguvu ya kulea familia mbona inaeleweka ,soma nilichoandika tena,kulea ina depend na umri wenu ,na sio type ya ndoa mliyonayo.
 
Unaweza ukawa late thirties bila ndoa ila una mtoto yupo secondary, pointi ni kulea huku nguvu zimeisha...
mimi mbona niko kwenye late 30 na sina ndoa,you can not go faster than ambavyo Mungu amekupangia,lol,wewe kazana kuengeneza happy home,hii ya kuwahi kuoa isiifikirie saana...😉😉😉
 
Kimsingi ndoa inakuwa chachu ya mafanikio kwenye maisha kama kila mtu akicheza kwenye nafasi yake inavyotakiwa.

Mara zote baba lazima ajue kuwa anabeba jukumu la kuitunza na kuilisha familia, lakini pia ndiye kichwa cha familia ambacho hakitakiwi kuyumba, hasa kwenye maamuzi.

Familia yenye baba legelege huzaa watoto lege lege sana, na hata ndoa huwa legelege.

Mama pia ana nafasi kubwa sana kwenye ndoa kama msimamizi mkuu na mtekelezaji wa yale ambayo baba anakuwa ameyaweka kwenye maisha.

Kwa kifupi baba ndiye mbeba maono ya familia, na mama ni mtekeleza maono hayo.

Kinyume cha hapo(mama kuwa mbeba maono na baba mtekelezaji wa maono) ni kufeli vibaya sana kwa familia.
 
Back
Top Bottom