Ni kwa nini wanawake (watu wazima) wasio olewa wanamaamuzi ya kibabe?

Ni kwa nini wanawake (watu wazima) wasio olewa wanamaamuzi ya kibabe?

All in all, hali ya kupenda kuolewa ni kitu ambacho wanawake wanakuwa nayo tangu utotoni na inatawala sehemu kubwa ya maisha yao. Admit it or not, ni mwanamke gani ambaye kwenye utoto wake hakutamani kuvaa shera?

It's natural, personally as a boy I dont remember ever thinking about my wedding day but most girls do. Ukiongezea na mitizamo ya jamii juu ya umuhimu wa ndoa, ni rahisi sana kwa wanawake ambao hawajaolewa kuwa stressed kupita kiasi. Wanahisi kama kuna kitu muhimu hawana, ni sawa na mwanaume mtu mzima ambaye for some reasons can not support himself financially, lazima awe stressed.

Mama Makinda ni mfano tu, ila wako wengi tu huku mitaani. Nina aunts watatu, mmoja ameolewa na ni mjane, wawili hawajaolewa na wako bitter kweli kweli. Huyo mmoja japo amekuwa mjane for more than 12 yrs now she is still very sweet just as she as always been.
 
Jamani wanajamii naomba mnisaidie nimeshuhudia wanawake wengi ambao hawajaolewa mfano Anna Makinda wanakuwa na maamuzi ya kibabe na yasiyo husisha busara tatizo huwa ni nn?

Tabia na matendo ya mwanamke mwenye umri wa miaka 50+ huathiriwa na menopause; na kufanya tabia za baadhi ya wanawake kubadilika na kuwa wakorofi, wakali, wagomvi, walalamishi nk.

Declining estrogen levels associated with menopause can cause more than those pesky hot flashes. They can also make a woman feel like she is in a constant state of PMS (premenstrual syndrome). Unfortunately, these emotional changes are a normal part of menopause.Some of the emotional changes experienced by women undergoing peri menopause or menopause can include Irritability, Feelings of sadness, Lack of motivation, Anxiety, Aggressiveness, Difficulty concentrating, Fatigue, Mood changes and Tension.

Source: Menopause, Emotions, Depression, Moodiness, and More
 
Back
Top Bottom