GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa Timu yangu ninavyoijua (tena baada ya Kijili hivi majuzi Kuwasaidia) hadi sasa ningekuwa mbele kwa Goli 4 hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila si mlikubaliana nao lakini kuwa Kipindi cha Kwanza muende Suluhu (0-0) na cha Pili ndiyo Muwashindilie nazo za Kutosha? Imekuwaje tena?Mnapenda kuropoka wazee wa kujenga timu,Yanga anaongoza moja kipindi chakwana zidi ya timu yenu ambayo mnaazimana makocha.
Hatuna ujirani kama mliokuwa nao nyie wa kuazimana mpaka makocha na jana mkacheza zidi ya kocha wenu mliye muazima toka Coastal.Ila si mlikubaliana nao lakini kuwa Kipindi cha Kwanza muende Suluhu (0-0) na cha Pili ndiyo Muwashindilie nazo za Kutosha? Imekuwaje tena?
Wanacheza GSM wenyewe mkuuKwa Timu yangu ninavyoijua (tena baada ya Kijili hivi majuzi Kuwasaidia) hadi sasa ningekuwa mbele kwa Goli 4 hivi.
shinda mechi zako acha wivu!Uto Wametepetaaa yani tepeeee