Nchi ilikuwa inamfia mkononi Nyerere ,sukari kwa foleni.huyu dogo sijui anaongea niniMsamehe huyo kwani zama za mzee RUXA huyo alikuwa bado hata "kiunoni" kwa dingi wake hajafika.
Mzee Ruxa ndiye aliyeruhusu watz bara kumiliki TV, Nyerere hakutaka kabisa Watz tumiliki TV wakati majirani zetu wakitucheka.
Zama zile zilikuwa "The dark days" Nyerere akajiuzulu kwa style ya "KUNG'ATUKA".
Ni mawazo yake amesemaNchi ilikuwa inamfia mkononi Nyerere ,sukari kwa foleni.huyu dogo sijui anaongea nini
Mimi.naona hao ndugu zake Rwanda na Malawi waungane lkn hawawezi kutupiga.Ujinga mtupu.
Mwinyi nae alikuwa si 'Rais' mzuri kivile.Nchi ilikuwa inamfia mkononi Nyerere ,sukari kwa foleni.huyu dogo sijui anaongea nini
Nimeanza kuona 'TV' May mwaka 1983.
Tanzania ipo 'naked' kwa Rwanda sawa?Mimi.naona hao ndugu zake Rwanda na Malawi waungane lkn hawawezi kutupiga.
Nami ni mawazo yangu huyu dogo namjua inpersonal kazaliwa kipindi cha mkapa so story za nyerere na mwinyi anazisoma au kuzisikia story kwa watuNi mawazo yake amesema
Ambayo ninataka yaheshimiwe sana tu.Ni mawazo yake amesema
Mwanangu una akili sana hata kama sikubaliana na tafakari yako yote. Umesema mengi yanayoingia akilini japo siwezi kuyaita ukweli kwani kila kitu hutegemea mtu anavyokiona na sababu za kufanya hivyo na lenses anazotumia. Kwa ujumla, una hoja yenye afya na mashiko mwanangu.Awamu ya Nyerere
Ya Kujenga Misingi na Maadili mema ya Kuwakomboa Watanzania kutoka kwa Wakoloni na Kuzalishwa Kizazi cha Watu Werevu sana.
Awamu ya Mwinyi
Ya Kuharibu Misingi yote iliyowekwa na kusababisha nchi kuanza Kuyumba Kiuchumi huku Rasilimali nyingi za nchi zikinyakuliwa na Wachache ambao waliiweka nchi Mfukoni.
Awamu ya Mkapa
Ya Kuiimarisha Tanzania Kiuchumi na Kielimu huku Taifa la Tanzania likisifika zaidi Kimataifa kwa kuwa na Serikali imara iliyojua kutatua Changamoto za Watanzania huku hata Thamani nzima ya Pesa ( Shilingi ) ikiwa imeimarika sana.
Awamu ya Kikwete
Ya Kuharibu kabisa Uchumi wa Tanzania, uliozalisha Wezi ( Majangili ) na Mafisadi wengu huku pia Serikali ikiwa ndiyo Kimbilio Kuu la Magenge ya Wauza dawa za Kulevya.
Pia ndiyo Awamu iliyozalisha Watanzania wengi ' Goigoi ' na hata ' Mashoga ' wengi waliibukia hapa hapa.
Na ndiyo Awamu ambayo ililemaza Akili za Watanzania wengi huku wakipenda Kupata Pesa kirahisi ( kwa Kupiga Dili ) na Kusababisha Watanzania wengi ( japo siyo wote ) kupenda zaidi Starehe na siyo Kufanya Kazi.
Lakini pia ndiyo Awamu iliyozalisha Chuki za ' Kidiplomasia ' hasa na Mataifa Jirani kama Malawi na Rwanda kiasi cha hata kutaka Kuigharimu nchi ( Tanzania ) kwani Nguvu ya Malawi na Rwanda Kijeshi na Kiusalama zinajulikana na Tanzania ndiyo ingeathirika zaidi.
Awamu ya Magufuli
Ya Kuimarisha zaidi Miundombinu ya nchi, Kurudisha Nidhamu iliyopotea katika Awamu mbovu na ya hovyo ya Rais Kikwete.
Pia ndiyo Awamu ambayo iliwafungua zaidi Akili Watanzania wengi kujua Thamani zao lakini pia kujua Kiwango kikubwa cha Utajiri Tanzania Iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu.
Na ndiyo Awamu ambayo ilijikita zaidi Kuimarisha na Kuboresha ' Kivitendo ' zaidi Ndoto ' Pevu ' za Awamu ya Kwanza.
Hivyo hivyo ndiyo ilikuwa Awamu Bora kabisa iliyoweza Kupambana vyema na Mafisadi na pia Kuwamaliza vyema tu Wahalifu nchini kama Majambazi na hata Wafanyabiashara wa Dawa za Kulevya.
Vile vile ndiyo Awamu iliyomfanya Mtanzania aweze Kujiamini popote pale, Kujitambua vyema na hata Hadhi ya Elimu nchini kuanza Kuimarika tena.
Na ndiyo Awamu ambayo haikupenda sana ' Kujikomba ' kwa Marafiki ' Wanafiki ' kama ' Wakenya ' ila ikahakikisha inarejesha Uhusiano mwema na Majirani zetu wa ' Kimkakati ' kama Malawi na hasa hasa Taifa ' lililobarikiwa ' zaidi na Mwenyezi Mungu Barani Afrika la Rwanda pamoja na mengineyo tofauti na Awamu mbovu ya Kikwete ambayo iliharibu na ingeigharimu zaidi Tanzania.
Awamu ya Samia
Hii nitawaomba nanyi pia muichambue.
Nimeanza kuona TV Home mwaka 1983.Zanzibar, sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tz, wao Tv (Coloured) imeingia mwaka 1972, huku Bara ni katika miaka hiyo ya 1980s ndiyo watu wachache sana walianza kumiliki Tv (video) mfano akina Shk Yahya Hussein nk.
Hapo kwenye kuheshimiwa inategemea mapokeo ya watu wanaosoma hayo mawazoAmbayo ninataka yaheshimiwe sana tu.
Kuna mataga mmoja alikuwa anatumia hiyo picha nikajua ni weweNitampima Samia akishamaliza "kurekebisha makosa" ya Magufuli.
Yule mzee katuokoa sana tungevaa magome au ngozi ndio maana Mungu kampa bonas ya maisha acha ushabiki au kusikiliza story za vijiweniMwinyi nae alikuwa si 'Rais' mzuri kivile.
Mimi akiacha Kumsikiliza tu JM Kikwete.Nitampima Samia akishamaliza "kurekebisha makosa" ya Magufuli.
Umechambua vizuri sana asilimia 90 upo sahihiAwamu ya Nyerere
Ya Kujenga Misingi na Maadili mema ya Kuwakomboa Watanzania kutoka kwa Wakoloni na Kuzalishwa Kizazi cha Watu Werevu sana.
Awamu ya Mwinyi
Ya Kuharibu Misingi yote iliyowekwa na kusababisha nchi kuanza Kuyumba Kiuchumi huku Rasilimali nyingi za nchi zikinyakuliwa na Wachache ambao waliiweka nchi Mfukoni.
Awamu ya Mkapa
Ya Kuiimarisha Tanzania Kiuchumi na Kielimu huku Taifa la Tanzania likisifika zaidi Kimataifa kwa kuwa na Serikali imara iliyojua kutatua Changamoto za Watanzania huku hata Thamani nzima ya Pesa ( Shilingi ) ikiwa imeimarika sana.
Awamu ya Kikwete
Ya Kuharibu kabisa Uchumi wa Tanzania, uliozalisha Wezi ( Majangili ) na Mafisadi wengu huku pia Serikali ikiwa ndiyo Kimbilio Kuu la Magenge ya Wauza dawa za Kulevya.
Pia ndiyo Awamu iliyozalisha Watanzania wengi ' Goigoi ' na hata ' Mashoga ' wengi waliibukia hapa hapa.
Na ndiyo Awamu ambayo ililemaza Akili za Watanzania wengi huku wakipenda Kupata Pesa kirahisi ( kwa Kupiga Dili ) na Kusababisha Watanzania wengi ( japo siyo wote ) kupenda zaidi Starehe na siyo Kufanya Kazi.
Lakini pia ndiyo Awamu iliyozalisha Chuki za ' Kidiplomasia ' hasa na Mataifa Jirani kama Malawi na Rwanda kiasi cha hata kutaka Kuigharimu nchi ( Tanzania ) kwani Nguvu ya Malawi na Rwanda Kijeshi na Kiusalama zinajulikana na Tanzania ndiyo ingeathirika zaidi.
Awamu ya Magufuli
Ya Kuimarisha zaidi Miundombinu ya nchi, Kurudisha Nidhamu iliyopotea katika Awamu mbovu na ya hovyo ya Rais Kikwete.
Pia ndiyo Awamu ambayo iliwafungua zaidi Akili Watanzania wengi kujua Thamani zao lakini pia kujua Kiwango kikubwa cha Utajiri Tanzania Iliyobarikiwa na Mwenyezi Mungu.
Na ndiyo Awamu ambayo ilijikita zaidi Kuimarisha na Kuboresha ' Kivitendo ' zaidi Ndoto ' Pevu ' za Awamu ya Kwanza.
Hivyo hivyo ndiyo ilikuwa Awamu Bora kabisa iliyoweza Kupambana vyema na Mafisadi na pia Kuwamaliza vyema tu Wahalifu nchini kama Majambazi na hata Wafanyabiashara wa Dawa za Kulevya.
Vile vile ndiyo Awamu iliyomfanya Mtanzania aweze Kujiamini popote pale, Kujitambua vyema na hata Hadhi ya Elimu nchini kuanza Kuimarika tena.
Na ndiyo Awamu ambayo haikupenda sana ' Kujikomba ' kwa Marafiki ' Wanafiki ' kama ' Wakenya ' ila ikahakikisha inarejesha Uhusiano mwema na Majirani zetu wa ' Kimkakati ' kama Malawi na hasa hasa Taifa ' lililobarikiwa ' zaidi na Mwenyezi Mungu Barani Afrika la Rwanda pamoja na mengineyo tofauti na Awamu mbovu ya Kikwete ambayo iliharibu na ingeigharimu zaidi Tanzania.
Awamu ya Samia
Hii nitawaomba nanyi pia muichambue.
Nchi ilikuwa inamfia mkononi Nyerere ,sukari kwa foleni.huyu dogo sijui anaongea nini
Anayemdhihaki Mwinyi hakuwepo enzi zile so dogo kwa mwinyi katokotaHapo kwenye kuheshimiwa inategemea mapokeo ya watu wanaosoma hayo mawazo
Matege ndio kitu gani kamanda.Kuna mataga mmoja alikuwa anatumia hiyo picha nikajua ni wewe
Yule mzee katuokoa sana tungevaa magome au ngozi ndio maana Mungu kampa bonas ya maisha acha ushabiki au kusikiliza story za vijiweni
Anayezaliwa Kipindi cha Mkapa anawezaje kuona TV tena Kwao kabisa Mwaka 1983 Nyumba Jirani na Marehemu Former BOT Governor Mtani wangu wa Kihaya Gilman Rutihinda Oysterbay? Huna unachokijua Mkuu na ni bora ukanyamaza tu nisizidi Kukudharau.Nami ni mawazo yangu huyu dogo namjua inpersonal kazaliwa kipindi cha mkapa so story za nyerere na mwinyi anazisoma au kuzisikia story kwa watu