Ni kwanini angani kuna baridi kali?

Ni kwanini angani kuna baridi kali?

espy

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2021
Posts
363
Reaction score
706
Naomba kuelewa unajimu huu...

Ni kwa nini angani kuna baridi sana ilhali kila unapopanda juu ndio unavyozidi kulisogelea jua ?

Jana maafisa wa usalama wa anga wa Uholanzi wamesema wameshindwa kumuelewa Mkenya aliye survive baridi la kufa mtu angani akiwa kwenye kijumba cha tairi la ndege kutoka Johannesburg au Nairobi (hawana uhakika) hadi Amsterdam.

Vipi kama pipa lilisafiri mchana njia nzima ambako jua linapiga muda wote, which means, alikuwa katikati ya jua na sayari hii muda wote, sielewi! Nairobi mpaka Amsterdam ni saa masaa 7 tu, wakati mchana kwa maana ya daylight, mawio mpaka machweo, ni masaa 12! Mchizi alikuwa na masaa mengine matano ya ku survive chini ya jua! Au ?
 
Ngoja waje wajuzi wa mambo
Lakini kwa elimu ya geography niliyonayo ukisoma matabaka ya anga na tabia zake utagundua kwamba si kweli kuwa unavyopanda juu zaidi ndivyo joto linavyoongezeka
Kuna matabaka ya anga au mbingu (leyers of atmosphere)
Troposphere
Stratosphere
Mesosphere
Thermosphere
Exosphere
Nakadhalika mengine nishasahau [emoji1787] miaka ishapita
Sasa hili la kwanza na la pili kama sikosei yanatabia ya kushuka kwa joto kadri unavyozidi kupanda juu na nadhani hizi ndege zetu ndo huwa zinajidai kwenye maeneo hayo zaidi ya hapo ndo unakutana na kimbembe cha joto kali inaunguza kama pasi [emoji1787]
 
Ni kwa sababu joto tunalolihisi ni matokeo ya absorption ya miale ya jua kwa ardhi ikishapata joto ndio unaanza kulihisi. Jinsi unavyopanda juu unasogea mbali na ardhi hivyo joto nalo hupungua. Ila kwa tofauti ya umbali wa dunia na jua ambayo ni zaidi ya 9M kilometers, kuelekea juu let's say unapanda Mlima Kilimanjaro ni kama hujafanya chochote kulikaribia jua.
 
Ni kwa sababu joto tunalolihisi ni matokeo ya absorption ya miale ya jua kwa ardhi ikishapata joto ndio unaanza kulihisi. Jinsi unavyopanda juu unasogea mbali na ardhi hivyo joto nalo hupungua. Ila kwa tofauti ya umbali wa dunia na jua ambayo ni zaidi ya 9M kilometers, kuelekea juu let's say unapanda Mlima Kilimanjaro ni kama hujafanya chochote kulikaribia jua.
anhaaa, joto tunalosikia hapa duniani linatoka ardhini....

sasa kwa nini kuna jua la utosi hakuna jua la unyayo?

kwa nini tunavaa kofia kuzuia kuungua na jua la utosi na sio jua la unyayo?
 
Hata Juu ya Kilimanjaro ni barafu zaidi na baridi zaidi ya huku chini. Unavyoenda juu zaidi, atmosphere inakuwa nyepesi zaidi na inapoteza uwezo wa kushikilia joto sababu hewa kama oxygen, CO2, Nitrogen nk zimepungua sana. Hata chuma, kizito kinapitisha joto zaidi ya kilaini..same reason, huko juu, anga limepoteza gases zake nyingi
Naomba kuelewa unajimu huu...

Ni kwa nini angani ni kwa baridi sana ilhali kila unapopanda juu ndio unavyozidi kulisogelea jua ?

Jana maafisa wa usalama wa anga wa Uholanzi wamesema wameshindwa kumuelewa Mkenya aliye survive baridi la kufa mtu angani akiwa kwenye kijumba cha tairi la ndege kutoka Johannesburg au Nairobi (hawana uhakika) hadi Amsterdam.

Vipi kama pipa lilisafiri mchana njia nzima ambako jua linapiga muda wote, which means, alikuwa katikati ya jua na sayari hii muda wote, sielewi! Nairobi mpaka Amsterdam ni saa masaa 7 tu, wakati mchana kwa maana ya daylight, mawio mpaka machweo, ni masaa 12! Mchizi alikuwa na masaa mengine matano ya ku survive chini ya jua! Au ?
 
anhaaa, joto tunalosikia hapa duniani linatoka ardhini....

sasa kwa nini tunaungua na jua kutoka juu, na tunavaa kofia kichwani kuzuia jua la utosi ?
Sunburn inakua kubwa unavyopanda juu zaidi, mfano kama ukipanda Kilimanjaro pasi na kua na Suncream kuna uwezekano wa kubabuka ngozi sababu ya jua.
 
Hata chuma, kizito kinapitisha joto zaidi ya kilaini..same reason
Uzito wa chuma sidhani kama unahusiana na upitishaji wa joto

Thermal Conductivity.PNG


Hakuna uzito hapo!
 
Given the same volume, kizito automatically kina higher density..
Density=mass/volume.. therefore.. volume ikiwa inalingana (ambacho ndio nilimaanisha).. manake the higher the mass (kizito zaidi), the higher the density, and the more conductive to heat sababu atoms are densely packed. Asante kwa mchango wako mkuu wangu.

Nadhani alikuwa na maana ya density na sio (uzito) mass.
 
Sunburn inakua kubwa unavyopanda juu zaidi, mfano kama ukipanda Kilimanjaro pasi na kua na Suncream kuna uwezekano wa kubabuka ngozi sababu ya jua.
Uko sahihi.. na sababu ni hio hio niliyotoa mwanzo kuhusiana na baridi kuongezeka unavyopanda juu zaidi angani. Unavyopanda juu zaidi angani, kiasi cha hewa kwenye anga zinapungua. Hewa hizo zisaidia kuzuia mionzi ya jua.. manake hewa zikiwa nyingi zaidi, na anga linakuwa zito zaidi na linazuia makali ya jua. Lakini unavyopanda zaidi, kiasi cha hewa kinapungua, na vilevile protection dhidi ya makali ya jua yanapungua, na ndio mtu anapata sunburn kwa urahisi zaidi.
Zito..hapo namaanisha density given the same volume katika usawa tofauti wa anga. Hivi density kwa kiswahili inaitwaje?
 
Naomba kuelewa unajimu huu...

Ni kwa nini angani ni kwa baridi sana ilhali kila unapopanda juu ndio unavyozidi kulisogelea jua ?

Jana maafisa wa usalama wa anga wa Uholanzi wamesema wameshindwa kumuelewa Mkenya aliye survive baridi la kufa mtu angani akiwa kwenye kijumba cha tairi la ndege kutoka Johannesburg au Nairobi (hawana uhakika) hadi Amsterdam.

Vipi kama pipa lilisafiri mchana njia nzima ambako jua linapiga muda wote, which means, alikuwa katikati ya jua na sayari hii muda wote, sielewi! Nairobi mpaka Amsterdam ni saa masaa 7 tu, wakati mchana kwa maana ya daylight, mawio mpaka machweo, ni masaa 12! Mchizi alikuwa na masaa mengine matano ya ku survive chini ya jua! Au ?
Ulisoma mambo ya kontua shule za msingi?
 
Mtu nimekuelimisha.. halafu unajifanya unajua sana..View attachment 2117587
Duuuuh, sasa unalinganisha chuma na mbao!

Wewe mwenyewe ulileta mfano wa kulinganisha conductivity ya chuma kizito na chepesi. Kanuni zimeonyesha kwamba uzito hauhusiki katika conductivity!

Sasa umerukia chuma na mbao!

Halafu unasema nitulie unielimishe! Duuuh! Sio kwa style hiyo.
 
Back
Top Bottom