Ni kwanini baada ya miaka 20 bado CHADEMA wengi wanaona Mbowe hana mbadala?

Ni kwanini baada ya miaka 20 bado CHADEMA wengi wanaona Mbowe hana mbadala?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kipindi cha miaka 20 ni kipindi kirefu sana kwa kwa maisha ya binadamu yaani mtoto akizaliwa kufikia kipindi hicho wengine huwa wanajitegemea kabisa.

Jambo hili humaanisha kwamba tuna kizazi kingine chenye mtazamo mpya kabisa wa kifikra.

Sasa kwa chadema inaonekana hali ni tofauti kabisa yaani kwa kipindi chote hicho hawajaweza kuzalisha viongozi wapya kwa hiyo Mbowe anaweza kuwa mwenyekiti wao kwa mitano mingine kwani tatizo liko wapi?
 
Huwezi kukabidhi chama kwa wahuni, jamii ya mdude, sativa na Lissu, matusi nje nje kama zimeruka
 
Kuna kitengo kina akili kubwa sana kuhakikisha nchi iko salama kwa ku neutralise hali yoyote ya kiusalama kwenye nchi ukifikiri kwa kina utamuona friimani kama nae kitengo na ndio mana siku zote anacheza kwa stepu hajawahi kuikazia serikali nawaza tu lkn mana naona kama sielewi
 
“Kila Nilipokuwa Nikitaka Kung'atuka Walikuwa Wakiniambia: 'Mwalimu Endelea Tu, Hii Nchi Ni Changa Na Umeitoa Mbali. Nchi Hii Haitaendelea Bila Wewe'. Nami Niliiendelea Hadi Pale Nilipokuja Kugundua Kumbe Nchi Changa Waliyoiongelea Ni Familia Zao.” :-Mwl. Julius Kambarage Nyerere
 
Kuna kitengo kina akili kubwa sana kuhakikisha nchi iko salama kwa ku neutralise hali yoyote ya kiusalama kwenye nchi ukifikiri kwa kina utamuona friimani kama nae kitengo na ndio mana siku zote anacheza kwa stepu hajawahi kuikazia serikali nawaza tu lkn mana naona kama sielewi

Hata awe kitengo aachie chama . Akafanye ukitengo kwa familia yake.
 
Kipindi cha miaka 20 ni kipindi kirefu sana kwa kwa maisha ya binadamu yaani mtoto akizaliwa kufikia kipindi hicho wengine huwa wanajitegemea kabisa.
Jambo hili humaanisha kwamba tuna kizazi kingine chenye mtazamo mpya kabisa wa kifikra.

Sasa kwa chadema inaonekana hali ni tofauti kabisa yaani kwa kipindi chote hicho hawajaweza kuzalisha viongozi wapya kwa hiyo Mbowe anaweza kuwa mwenyekiti wao kwa mitano mingine kwani tatizo liko wapi?
Wengi kwa kumuhesabu nani hadi nani?
 
Kipindi cha miaka 20 ni kipindi kirefu sana kwa kwa maisha ya binadamu yaani mtoto akizaliwa kufikia kipindi hicho wengine huwa wanajitegemea kabisa.
Jambo hili humaanisha kwamba tuna kizazi kingine chenye mtazamo mpya kabisa wa kifikra.

Sasa kwa chadema inaonekana hali ni tofauti kabisa yaani kwa kipindi chote hicho hawajaweza kuzalisha viongozi wapya kwa hiyo Mbowe anaweza kuwa mwenyekiti wao kwa mitano mingine kwani tatizo liko wapi?
Chadema imejengwa kwa majina ya viongozi na si kama taasisi ndio maana vyama kama chadema huwa ukifika muda ni lazima vife moja kwa moja.
Wanayo bahati kuwa Lissu amekuja na namna ya hiki chama kiendeshwe kama taasisi il sasa machawa ya Mzee Mbowe yamekuwa ni shida kubwa sana.
 
Mimi ni mwana mabadiliko. Huyu Mbowe atoke haraka.
Ni ushenzi wa hali ya juu huu alioufanya Mbowe.
2015 milango ilikuwa wazi upinzani kuchukua nchi lakini Mbowe kafanya yake
 
Kuna kitengo kina akili kubwa sana kuhakikisha nchi iko salama kwa ku neutralise hali yoyote ya kiusalama kwenye nchi ukifikiri kwa kina utamuona friimani kama nae kitengo na ndio mana siku zote anacheza kwa stepu hajawahi kuikazia serikali nawaza tu lkn mana naona kama sielewi
Ahaa uko sahihi nadhani ndio maana hadi kina mwashambwa wanashabikia Mbowe abaki
 
Chadema imejengwa kwa majina ya viongozi na si kama taasisi ndio maana vyama kama chadema huwa ukifika muda ni lazima vife moja kwa moja.
Wanayo bahati kuwa Lissu amekuja na namna ya hiki chama kiendeshwe kama taasisi il sasa machawa ya Mzee Mbowe yamekuwa ni shida kubwa sana.
Ingawa tusisahau pia kuwa nguvu ya vyama kote duniani hutegemea sana majina yenye nguvu hilo haliepukiki mie hoja yangu ni kuwa imeshindikanaje kutengeneza majina mengine yenye ushawishi kwa kipindi kirefu hivyo?
Hadi ifikie Leo watu wsnaandamana kwamba Mbowe aendelee!!
 
“Kila Nilipokuwa Nikitaka Kung'atuka Walikuwa Wakiniambia: 'Mwalimu Endelea Tu, Hii Nchi Ni Changa Na Umeitoa Mbali. Nchi Hii Haitaendelea Bila Wewe'. Nami Niliiendelea Hadi Pale Nilipokuja Kugundua Kumbe Nchi Changa Waliyoiongelea Ni Familia Zao.” :-Mwl. Julius Kambarage Nyerere

Kupitia huu uchaguzi ndio kipimo cha chadema kuendelea kuaminika kwa umma au lah, uongozi wa muda mrefu utengeneza machawa, ndio hii inapelekea eti kikundi cha watu wanadai kuandama kwenda nyumbani kwa mtu kumshiniliza aendelee kugombea, shame
 
Ingawa tusisahau pia kuwa nguvu ya vyama kote duniani hutegemea sana majina yenye nguvu hilo haliepukiki mie hoja yangu ni kuwa imeshindikanaje kutengeneza majina mengine yenye ushawishi kwa kipindi kirefu hivyo?
Hadi ifikie Leo watu wsnaandamana kwamba Mbowe aendelee!!
Ni juhudi za makusudi za mzee Mbowe kufanya hivyo ,embu fikiria miaka ishirini yeye ndio anajbambanua bila yeye hakuna taasisi na kwa amawzo yangu yeye mzee mbowe na machawa wake wanaamini kuwa huyu mzee ni lazima awe mwenyekiti wa milele hadi siku ya mwisho.
 
Kupitia huu uchaguzi ndio kipimo cha chadema kuendelea kuaminika kwa umma au lah, uongozi wa muda mrefu utengeneza machawa, ndio hii inapelekea eti kikundi cha watu wanadai kuandama kwenda nyumbani kwa mtu kumshiniliza aendelee kugombea, shame
Lile libaba sijui linaitwa Mungai bila aibu linapaaza sauti .AIBU
 
Wanasemaga Mbowe ana hekima na busara...sasa ngoja tuone kama kweli anazo!.
 
Mbowe akifa Leo kutatokea nini? Ni namna tu ambavyo inaonyesha chadema is corrupted na Mbowe kalambishwa, Lisu ndo mtu pekee anaweza ongoza Chadema Kwa saaa
 
Huwezi kukabidhi chama kwa wahuni, jamii ya mdude, sativa na Lissu, matusi nje nje kama zimeruka
Hivi ni kwanini hata baada ya miaka 60 ya uhuru ccm inaona hakuna mbadala
IMG-20241219-WA0021.jpg
 
Ndio fikra hizo hizo ambazo ziliona ZANOPF haina mbadala nchini HAITI
 
Kipindi cha miaka 20 ni kipindi kirefu sana kwa kwa maisha ya binadamu yaani mtoto akizaliwa kufikia kipindi hicho wengine huwa wanajitegemea kabisa.

Jambo hili humaanisha kwamba tuna kizazi kingine chenye mtazamo mpya kabisa wa kifikra.

Sasa kwa chadema inaonekana hali ni tofauti kabisa yaani kwa kipindi chote hicho hawajaweza kuzalisha viongozi wapya kwa hiyo Mbowe anaweza kuwa mwenyekiti wao kwa mitano mingine kwani tatizo liko wapi?
Una maoni gani.

 
Back
Top Bottom