Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Sasa mbadala ni nani ndio hii Chadema?Hivi ni kwanini hata baada ya miaka 60 ya uhuru ccm inaona hakuna mbadalaView attachment 3180018
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbadala ni nani ndio hii Chadema?Hivi ni kwanini hata baada ya miaka 60 ya uhuru ccm inaona hakuna mbadalaView attachment 3180018
Ukwel mchungu huu“Kila Nilipokuwa Nikitaka Kung'atuka Walikuwa Wakiniambia: 'Mwalimu Endelea Tu, Hii Nchi Ni Changa Na Umeitoa Mbali. Nchi Hii Haitaendelea Bila Wewe'. Nami Niliiendelea Hadi Pale Nilipokuja Kugundua Kumbe Nchi Changa Waliyoiongelea Ni Familia Zao.” :-Mwl. Julius Kambarage Nyerere
Bila Mbowe CDM ni dhaifu sana.Kipindi cha miaka 20 ni kipindi kirefu sana kwa kwa maisha ya binadamu yaani mtoto akizaliwa kufikia kipindi hicho wengine huwa wanajitegemea kabisa.
Jambo hili humaanisha kwamba tuna kizazi kingine chenye mtazamo mpya kabisa wa kifikra.
Sasa kwa chadema inaonekana hali ni tofauti kabisa yaani kwa kipindi chote hicho hawajaweza kuzalisha viongozi wapya kwa hiyo Mbowe anaweza kuwa mwenyekiti wao kwa mitano mingine kwani tatizo liko wapi?
Kwa hiyo Mbowe ni mwenyekiti wa wahuni? Sasa mwenyekiti wa wahuni lazima awe muhuni namba moja. Huwezi kuwa mwenyekiti wa wahuni bila wewe kuwa muhuni.Huwezi kukabidhi chama kwa wahuni, jamii ya mdude, sativa na Lissu, matusi nje nje kama zimeruka
Hawa jamaa wana chekeshaKwa hiyo Mbowe ni mwenyekiti wa wahuni? Sasa mwenyekiti wa wahuni lazima awe muhuni namba moja. Huwezi kuwa mwenyekiti wa wahuni bila wewe kuwa muhuni.