Hiyo ni mbuzi kufia kwa muuza supu.Libya kuna vikundi vya kukamata waafrica weusi na kuwauza kwenye soko jeusi la utumwa
Tatizo hao wapumbavu wawili wako kila mada ya udini lazima wawepoKila
Kila mtu ni mbabe, kila mtu kakasirika!
Hii mada itafikisha hata page 3 kweli!
Sjawai ona mada ya wababe kama hii, kha!
Sidhani kama haujui. Unataka kurefusha mada tuMauritania ni nchi ya kiarabu?
Kwa Saudia hata wafilipino waliteseka sana na wengine kupewa mimba na kusafirishwa
Walikuwa ni nurses na wafanyakazi wa ndani
Ila serikali ya Phillipines iliingilia kati na kusitisha contract zote za waliopo na wanaoenda huko
Wakakaa na serikali ya KSA na kufikia muafaka kesi ziliisha au zilipungua kwa asilimia kubwa sana
Sasa sisi tunashindwa nini Serikali zetu kuingia makubaliano na hata kuwashitaki watakao kiuka mikataba na kuwadhalilisha au kuwabaka?
Mbona yamewezekana kwa wenzetu?
Sisi hatuna maamuzi magumu ndio maana
Na wengi wanapelekwa na agents wasiojulikana hata na baadhi ya serikali za Afrika
Wametuona mabwege
Na kweli, yaani watu wanaenda wenyewe na serikali inaona wanavyo fanyiwa ila bado wanaruhusu waendeAfrica ni lina serikali zetu zilajali raia wake? na hata sisi wenyewe tunashindwa kujitambua. tunaishia kulialia waarabu waarabu