Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Una chuki binafsi na Burundi. Rwanda wana matatizo yao. Nao bado ni watoto wetu hasa ikizingatiwa kuwa wanatutegemea kwa mengi. ni kwa vile hujui mambo ya kimataifa, ungejua wala usingejiabisha hivyo. Isitoshe Burundi na Rwanda zilikuwa sehemu ya Tanganyika wakati wa ukoloni wa Kijerumani. Bado ni watoto wetu.Na cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.
Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi (wanaojiita Wakongwe)
Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
Na hiko ndicho alichojitaka kuitwa hivyo nanyi huwa mnampa title kankwamba Rwanda na pazitoMnyarwanda lazima asifie kwao Rwanda
Nchi mbili, mazingira tofauti. Hata sisi bara na visiwani hatuko sawa.Kwani Burundi hakuna Watutsi?
Swali la kujiuliza kwa nini wahutu na watutsi wa Rwandwa wameweza kuiimarisha nchi yao halafu hao hao wahutu na watutsi wa Burundi wameshindwa kuiendeleza nchi yao.
Kama Waliokuzaa vile.Mtoa uzi ni [emoji706][emoji706][emoji706]
Siyo umechanganya au umekosea bali huna Akili na ndiyo maana huwa nakuambia Wewe ni Mpumbavu na uache kuwa na Kiherehere husikii tu. Kubwa zima Jambo dogo tu la Kihistoria na Kijiografia hujui halafu unataka Kushindana na GENTAMYCINE anayekuzidi Akili Wewe na wana Ukoo wako Wote.Kweli nimechanganya, waliobadiri jina ni wa Mbabane na siyo Maseru.
Huyu 'Fool' mwenzio Matola si ndiyo mlikuwa mkishirikiana Kunishambulia na akijifanya yuko well Informed, intelligent na ana exposure Kubwa ya mambo ya Kidunia na ni Intellectual sana? Sasa imekuwaje Jambo jepesi tu tena la Kihistoria na Kijiografia kama hilo ameshindwa Kulijua mpaka ukamrekebisha?Swaziland ndio hiyohiyo Eswatin kwa yule mfalme anaeoa kila mwaka anachagua bikra na lesotho bado wanatumia jina hilohilo
Na ndiyo maana tunasema kuwa ana Akili nyingi. Halafu aliyewadanganyeni kuwa hata Tanzania ( Jeshi ) lenu kuwa kule Congo DR nalo kwa Kushirikiana na Serikali yenu 'haiibi' Madini ya Congo DR nani?Kwel maana msumbij kuna dhahabu shaz pengne kajiweka pale kwa nia ya kukwapua Gold
Absolute Nonsense.....!Una chuki binafsi na Burundi. Rwanda wana matatizo yao. Nao bado ni watoto wetu hasa ikizingatiwa kuwa wanatutegemea kwa mengi. ni kwa vile hujui mambo ya kimataifa, ungejua wala usingejiabisha hivyo. Isitoshe Burundi na Rwanda zilikuwa sehemu ya Tanganyika wakati wa ukoloni wa Kijerumani. Bado ni watoto wetu.
Huyu 'Fool' mwenzio Matola si ndiyo mlikuwa mkishirikiana Kunishambulia na akijifanya yuko well Informed, intelligent na ana exposure Kubwa ya mambo ya Kidunia na ni Intellectual sana? Sasa imekuwaje Jambo jepesi tu tena la Kihistoria na Kijiografia kama hilo ameshindwa Kulijua mpaka ukamrekebisha?
Ukiona tu GENTAMYCINE namdharau Mtu hapa kama ilivyo Kwake jua nimeshagundua kuwa si tu ni Mpumbavu bali pia ni Mwendawazimu.
Na sijui kwanini na Wewe umekuwa na Kiherehere cha kumuonea Huruma hadi Ukamrekebisha hapo bali ungeacha tu ili wenye Akili zaidi yake tuendelee Kumchora na Kumsanifu tu hapa JamiiiForums.
Halafu kama kweli unampenda 'Moron' Mwenzako na kumrekebisha mbona kule katika Uzi wangu wa Simba SC hukuwa na hiki Kiherehere cha Kumrekebisha baada ya kukosea Kuandika Jina la CEO wa Simba SC Babla badala ya Barbara?
Ukianzisha Vita nami uwe Genius kweli.
Jifarague uwezavyo ila huna Akili Mkuu.
Wewe kenge sio kama hatukujibu tunakuogopa ila hatuna muda wa kujibizana na wapuuzi mitandaoni kutokana na majukumu tuliyokuwa nayo..Tyna maneno ya shombo,plus matusi ya kiswahili na uhuni juu sema hatuwezi kujidhalilisha na kuexpose uhuni wetu kwenye jamii kama unavyofanya wewe mpuuzi ambaye JF nzima inakujua kama ni punguwani wahed..sasa sikia wewe kama unataka battle na mimi njoo pm nikuelekeze nilipo naandaa pambano la ngumi kavukavu dakila kumi tu maana unavyoonekana huna afya hata kidogo na hata mtaa unaoishi kuna watu wanakumaindi ufie kwenye mikono yao sasa ngoja mimi niwasaidie..Njoo pm ntakuja ulipo kwa gharama zangu nipo Sinza hapaHebu nikumbushe tena umesema Mpumbavu Mwenzako TADPOLE ile post yake ina Likes 100 na Wewe ukaongezea ya ngapi vile?
Yaani ungejua kuwa nilishakudharau Kitambo sana na hapa nakusanifu tu baada ya Kukujua jinsi ulivyo Zuzu ( Juha ) Mwandamizi hapa JamiiForums nzima.
Huna ubavu wa Kupambana na Kushindana nami kwa lolote lile na kadri unavyotumia Nguvu Kubwa Kunisema hapa jua ndiyo Kwanza unaniongezea tu Umaarufu wangu uliotukuka na hii Brand ID yangu pendwa ya GENTAMYCINE.
Najua Natural Charm yangu inawatesa.
Okay huyo pk ndio mmeoNa cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.
Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi (wanaojiita Wakongwe)
Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
We kenge kweli sasa unawadharau watusi wenzako waliopo Burundi acha akili za kipanzi panziShithole country Burundi survival yake inaitegemea Tz kwa asilimia zote.Leo Tz ikawaacha Burundi haitazidi hata wiki 1 tu CNDD-FDD itakua ishatolewa madarakani huku waasi wa Red-Tabara wakiwa ikulu wakinywa juice.
We kenge kweli sasa unawadharau watusi wenzako waliopo Burundi acha akili za kipanzi panzi
Labda nije huko PM ili unielekeze ni wapi tukutane ili 'Nikukaze' vizuri kuna 'Nyabenga' lako hilo sawa?Wewe kenge sio kama hatukujibu tunakuogopa ila hatuna muda wa kujibizana na wapuuzi mitandaoni kutokana na majukumu tuliyokuwa nayo..Tyna maneno ya shombo,plus matusi ya kiswahili na uhuni juu sema hatuwezi kujidhalilisha na kuexpose uhuni wetu kwenye jamii kama unavyofanya wewe mpuuzi ambaye JF nzima inakujua kama ni punguwani wahed..sasa sikia wewe kama unataka battle na mimi njoo pm nikuelekeze nilipo naandaa pambano la ngumi kavukavu dakila kumi tu maana unavyoonekana huna afya hata kidogo na hata mtaa unaoishi kuna watu wanakumaindi ufie kwenye mikono yao sasa ngoja mimi niwasaidie..Njoo pm ntakuja ulipo kwa gharama zangu nipo Sinza hapa
Panzi kweli weweNaona mke wangu una hamu ya kunyonywa kinyeohh.?
Chora 7 umwagiwe gundi nyeupe.Panzi kweli wewe