Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

Niliwahi kusikia wanyarwanda hasa watutsi ni jamii ya waIsraeli waliozagaa so dont ask twice why,

Ni uongo wa Cushites wote wa kuanzia pembe ya Afrika, ethiopia hadi hapo Rwanda hua wanajidanganya ni wa israel au wayahudi weusi lakini ni notion tu ya bias superiority complex.
 
Eti hii post ya TADPOLE imepata Likes 100 na Wewe umeongeza 1 na kuwa 101. Ana Madini ( Akili ) Kichwani mpaka akiandika Kitu hapa JamiiForums apate likes hizo 100? Tunaopata Likes au wenye Likes nyingi hapa JamiiForums kwa ama Kuandika Mada au Kuchangia akina GENTAMYCINE hutuoni? Nina Likes nyingi mpaka zingine natamani nikupunguzie Wewe na Wapumbavu Wenzako akina Arovera ili nanyi mfarijike.

Kubwa Jinga Wewe na Authentic Moron on JamiiForums na ndiyo maana 24/7 huwa nakudharau tu halafu hujishtukii.

Yaani pamoja na kujifanya ni mkongwe hapa JamiiForums hujajua tu kuwa kuna Member mwenye ID ya and 100 others ambaye ndiyo ame Like katika hiyo Post ya TADPOLE na kwa Upumbavu wako na wa wengine mkadhani hiyo post ina Likes 100?

Mkiwa na Akili nitaacha Kuwapuuza Ok?
 
Ila we jamaa unapenda misifa?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila genta bana unafurahisha sana
 
Wakongoman viumbe dhalili sasa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila genta bana unafurahisha sana
Nafurahisha wakati hilo nililoliandika hapo ni Kweli? Sifa yangu Kubwa ni Kujiamini na nilichokiandika hapo nimekimaanisha tena kwa Jeuri zote. Nidanganye kwa Faida ipi na ya nani labda?

I'm very Proud of my Lovely Father Ok?
 
Nafurahisha wakati hilo nililoliandika hapo ni Kweli? Sifa yangu Kubwa ni Kujiamini na nilichokiandika hapo nimekimaanisha tena kwa Jeuri zote. Nidanganye kwa Faida ipi na ya nani labda?

I'm very Proud of my Lovely Father Ok?
[emoji1787] huwa napenda unavotia msisitizo kwenye hoja zako mkuu.
 
Ummmh ww ni liongo....wakati tanzania ni ya tano kwa ukubwa kieneo na idadi ya watu africa yetu
Si unaona ulivyo lofa, Tanzania square km zake Ni 947,303 population Yake ikiwa roughly 60mil,Congo Square km zake ni 2,345,000 huku population Yake ikiwa Ni 90mil
 
Nchi kumi kubwa kieneo Africa ni kama ifuatavyo
1. Algeria 2.Democratic Republic Of Congo ( DRC) 3. Sudan 4. Libya 5. Chad 6. Niger 7. Angola 8. Mali 9. South Afica 10. Ethiopia
Tuma salamu kwa watu watatu mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…