Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

Ni kwanini Burundi inajipendekeza mno kwa Tanzania, lakini Rwanda inajiimarisha yenyewe kwa Kujipambania hadi Kusifika Kimataifa?

Huyo jamaa mshamba hadi leo akiwa Tandika anaulizia magari ya kariakoo yako wapi!!!..Anachofanya humu ni kujitutumua kuonyesha na yeye born town matawi kumbe tunaojua saikolojia tumeshagundua kwamba hayupo sawa mentally!!!!.. LIKUD huwa anasema anahisi wenzie wanamgonga(wanamnyata)
Hii post yako nimekuta umegongewa Like 100 na mimi nimeongeza 1 maana yake Members 101 wa JF kwenye thread hii peke yake wamekubaliana na wewe kwa asilimia 100 kwa ulichoandika.

Ushauri wangu kwa huyu dogo Genta ajitafakari sana, kitu asichokijuwa wengi hatujawahi kuexpose humu our genuine identity kwa sababu maalum na ndio sababu tunatumia fakeID, lakini tukija kwenye maisha halisi mtaani mtu mjinga kama huyu huenda hana qualifications zozote za kuwa karibu yako kwa lolote lile.

Ujuwaji mwingi wakati hajui lolote mpumbavu tu.
 
Uandishi wako uliojaa UPOPOMA mwingi unakuondoka kabsa kwenye kabila letu hatuna waropokaji wa kitutsi kama wewe.

Umewahi kusikia mtutsi yeyote mropokaji kama ww?All Tutsi respects their Moral value.

Nakwisavye peee.
 
Hii post yako nimekuta umegongewa Like 100 na mimi nimeongeza 1 maana yake Members 101 wa JF kwenye thread hii peke yake wamekubaliana na wewe kwa asilimia 100 kwa ulichoandika.

Ushauri wangu kwa huyu dogo Genta ajitafakari sana, kitu asichokijuwa wengi hatujawahi kuexpose humu our genuine identity kwa sababu maalum na ndio sababu tunatumia fakeID, lakini tukija kwenye maisha halisi mtaani mtu mjinga kama huyu huenda hana qualifications zozote za kuwa karibu yako kwa lolote lile.

Ujuwaji mwingi wakati hajui lolote mpumbavu tu.

Kuna member humu ukiwaona kwenye maisha halisi wananuka shida balaa, lakini kujitutumua wana maksi za juu sana
 
Uandishi wako uliojaa UPOPOMA mwingi unakuondoka kabsa kwenye kabila letu hatuna waropokaji wa kitutsi kama wewe.

Umewahi kusikia mtutsi yeyote mropokaji kama ww?All Tutsi respects their Moral value.

Nakwisavye peee.

Huyo sio Mtutsi, na hana ututsi wowote
 
Rwanda hakuna demokrasia, huo ndio ukweli na the guy anachekewa sababu husaidia kuiba mali ya mwafrika mwenzie kupeleka Ulaya, na kusababisha fujo isiyoisha DRC , fika congo yote kinshasa, Lubumbashi, Goma, Kisangani, Maniema hakuna ata Mkongomani Moya atasema anampenda munyarwanda ni shetani mkubwa huyo hafai
Siku kagame akikata roho....kuna nchi ukandaa huu zitashangilia sana kifo chake.....wa kwanza atakuwa congo na uganda
 
[emoji1][emoji1] Kanasapotiwa?Congo Ina madini Aina zote,Msitu wa Congo tu Peke yake Ni mkubwa kuliko hii nchi nzima ya Tz maana yake Ni Kama Ni Mbao na rasilimali za msituni wanazo za kufa mtu.Wanakosaje pesa?Ambazo zingewafanya wakanunua silaha za Aina yoyote Ile duniani

Wacongo hawanaga uzalendo na nchi yao.Wote wanawazaga kwenda zao kuishi huko Paris.
Ummmh ww ni liongo....wakati tanzania ni ya tano kwa ukubwa kieneo na idadi ya watu africa yetu
 
Ummmh ww ni liongo....wakati tanzania ni ya tano kwa ukubwa kieneo na idadi ya watu africa yetu

Nchi kumi kubwa kieneo Africa ni kama ifuatavyo
1. Algeria 2.Democratic Republic Of Congo ( DRC) 3. Sudan 4. Libya 5. Chad 6. Niger 7. Angola 8. Mali 9. South Afica 10. Ethiopia
 
Ummmh ww ni liongo....wakati tanzania ni ya tano kwa ukubwa kieneo na idadi ya watu africa yetu

Sasa Tanzania inaingia namba tano afrika kwa idadi ya watu kutokana na tafiti mbalimbali za idadi ya watu katika nchi za Afrika na sio ukubwa kieneo, ni kama ifuatavyo hapa 1. Nigeria watu milioni 206 2. Ethiopia watu milioni 114 3. Egypt watu milioni 102 4. DRC congo watu milioni 89 5. Tanzania watu milioni 59. 6. Afrika kusini watu milioni 59 7. Kenya watu milioni 53 8. Uganda watu milioni 45 9. Algeria watu milioni 43 10. Sudan watu 43 milioni na morocco milioni 36 inafunga msumbiji watu milioni 32 naona hoja yako imejibiwa vyema
 
Na cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.

Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi (wanaojiita Wakongwe)

Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
Tanzania is a playmaker in the geopolitics of East and Central Africa
 
Sasa Tanzania inaingia namba tano afrika kwa idadi ya watu kutokana na tafiti mbalimbali za idadi ya watu katika nchi za Afrika na sio ukubwa kieneo, ni kama ifuatavyo hapa 1. Nigeria watu milioni 206 2. Ethiopia watu milioni 114 3. Egypt watu milioni 102 4. DRC congo watu milioni 89 5. Tanzania watu milioni 59. 6. Afrika kusini watu milioni 59 7. Kenya watu milioni 53 8. Uganda watu milioni 45 9. Algeria watu milioni 43 10. Sudan watu 43 milioni na morocco milioni 36 inafunga msumbiji watu milioni 32 naona hoja yako imejibiwa vyema
Yeah lakini umenielewa kusema msitu wa congo unacoverage ya nchi yote ya tz kieneo....rekebisha hapo
 
Huyo jamaa mshamba hadi leo akiwa Tandika anaulizia magari ya kariakoo yako wapi!!!..Anachofanya humu ni kujitutumua kuonyesha na yeye born town matawi kumbe tunaojua saikolojia tumeshagundua kwamba hayupo sawa mentally!!!!.. LIKUD huwa anasema anahisi wenzie wanamgonga(wanamnyata)
Huyu mtoa Mafi sorry mtoa Mada ana matatizo kwenye ubongo wake Kuna Mahala hapo Sawa . Atakuwa ananikosea Sana heshima kama atasema Hana tatizo lolote kwenye ubongo wake.

Anyways huyu mtoa Mada hajawahi kufika Rwanda Wala Burundi Zaidi ya kuzisikia Tu kwenye redio. Amezaliwa wilaya ya bunda vijijini amekulia wilaya ya bunda vijijini .

Kidooogo amewahi kukaa Mwanza mjini akisoma pale Saut. Hajawahi kukanyaga nje ya mikoa hiyo miwili katika Maisha yake yote so Hana exposure ya kutosha.

Ni hivi Tanzania Na Burundi Ni kama Ivory Na Burkina Faso... Ivory Coast huwa wanaichukulia Burkina Faso kama little Ivory Coast . The same as Tanzania Kwa Burundi . Burundi ni kama little Tanzania. Ukifika Burundi every thing is Tanzanian. Ukiwa Bujumbura pale Downtown Ni kama upo kariakoo Kwa maana ya kwamba nyimbo zinazopigwa pale Ni ZA watz lugha wanayo ongea (Kiswahili) Kwa ufupi warundi wanatukubali Sana watanzania.

The same way as Rwanda . Wanyarwanda Ni ndugu zetu kabisa and they love as so much. Haya maneno aliyo andika huyu mtoa Mada Ni story ZA vijiweni lakini Hakuna uhalisia wowote.

Warundi Na wanyarwanda ni kama wasukuma Na wanyamwezi. Just the same people and all of them they like us Tanzanians so much in as much as we like them.

Sisi wote Ni dugu moja
 
Huyu mtoa Mafi sorry mtoa Mada ana matatizo kwenye ubongo wake Kuna Mahala hapo Sawa . Atakuwa ananikosea Sana heshima kama atasema Hana tatizo lolote kwenye ubongo wake.

Anyways huyu mtoa Mada hajawahi kufika Rwanda Wala Burundi Zaidi ya kuzisikia Tu kwenye redio. Amezaliwa wilaya ya bunda vijijini amekulia wilaya ya bunda vijijini .

Kidooogo amewahi kukaa Mwanza mjini akisoma pale Saut. Hajawahi kukanyaga nje ya mikoa hiyo miwili katika Maisha yake yote so Hana exposure ya kutosha.

Ni hivi Tanzania Na Burundi Ni kama Ivory Na Burkina Faso... Ivory Coast huwa wanaichukulia Burkina Faso kama little Ivory Coast . The same as Tanzania Kwa Burundi . Burundi ni kama little Tanzania. Ukifika Burundi every thing is Tanzanian. Ukiwa Bujumbura pale Downtown Ni kama upo kariakoo Kwa maana ya kwamba nyimbo zinazopigwa pale Ni ZA watz lugha wanayo ongea (Kiswahili) Kwa ufupi warundi wanatukubali Sana watanzania.

The same way as Rwanda . Wanyarwanda Ni ndugu zetu kabisa and they love as so much. Haya maneno aliyo andika huyu mtoa Mada Ni story ZA vijiweni lakini Hakuna uhalisia wowote.

Warundi Na wanyarwanda ni kama wasukuma Na wanyamwezi. Just the same people and all of them they like us Tanzanians so much in as much as we like them.

Sisi wote Ni dugu moja

You Nailed It.
 
Na cha Kushangaza zaidi kama Burundi inabebwa kwakuwa iliathirika na 1994 Genocide kwa Ripoti za UN zinasema kwamba Rwanda ndiyo iliathirika sana tu ila yenyewe wala haijikombi wala haijipendekezi kwa Mataifa makubwa ya Ukanda wake.

Naifananisha Burundi na Mtoto Mvivu na Mpumbavu pia anayependa Kudeka, Kuongozwa na asiyejitambua ila naifananisha Rwanda na Mtoto Yatima ila aliyejaaliwa Akili, Ushujaa, Mchapakazi, anayejiamini na asiyependwa Kupandwa Kichwani na Wapuuzi (wanaojiita Wakongwe)

Mwanamume Afrika ni Paul Kagame tu.
Acha chuki
 
[mention]LIKUD [/mention] umetoa mawazo mazuri unapokanyaga Buja Mitaa ya Buyenzi na kamembe mambo yote kama Tanzania na wakijua wewe Mtanzania wanakupenda mno ni sawa na unapokanyaga kigali vitongoji kama Remera na Nyabugogo au kirehe au kayonza Wanyarwanda kila kitu iwe muhogo wa ugali, vitunguu, Dagaa, hupata kutoka Tanzania na nchi za Rwanda na Burundi Raia wake wote wanaiona Tanzania nchi yao ya Ahadi na wanaipenda Tanzania hivo huyu mtoa maada anapoinanga Tanzania mara ainange Burundi unamwangalia unamwacha.
 
Back
Top Bottom