Hivi ni kweli ulichoandika? Kwamba huwezi kuwa usalama bila kuwa KOMANDO.......wajuzi wa hizi mambo plz kwangu naona big NO! Nikiwa na maana si lazima uwe komando ili uwe usalama.Huyo ni mtu mmoja, huwezi kuwa afisa usalama kama sio komando, kwaiyo unazungumzia mtu mmoja katika kazi tofauti kama ffu na traffic police
Yes, kama usalama mahala pa kazi you are very right.Hivi ni kweli ulichoandika? Kwamba huwezi kuwa usalama bila kuwa KOMANDO.......wajuzi wa hizi mambo plz kwangu naona big NO! Nikiwa na maana si lazima uwe komando ili uwe usalama.
Sina uhakika najaribu kutoa mtazamo wangu binafsi,nafikiri hii ni kwa sababu ya utulivu wa nafsi,kwa maana Komando ana uhakika wa usalama wake yeye mwenyewe kwanza kwa sababu anauwezo mkubwa katika kujilinda kuliko hawa wengine.Kutokana na hilo basi inamaana akifika katika eneo husika anakuwa full Confidence.Nimesikia mahala kuwa COMMANDO (si lazima awe wa Tanzania) ana uwezo wa kupata taarifa nyeti hata kuliko Mwana Usalama Taifa mwenyewe. Kwa mfano; COMMANDO wa Malawi anaweza akaenda nchini Zimbabwe katika maeneo yao muhimu na akapata akitakacho na wala asishtukiwe, lakini kwa Usalama wa Taifa wa Malawi anaweza kwenda ila atagundulika kwa haraka sana tu.
Wajuvi wa haya Masuala mliojazana hapa Jamvini JamiiForums, karibuni mtuelimishe na sisi akina Mzukulu ili nasi tuwe na Maarifa kama nyie pia.
Rubbish[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu hujafafanua vizuri unamzungumzia komando yupi, maana kuna KOMANDO Ledi Jei Dii, KOMANDO Hamza kalala na KOMANDO Kipensi