Kamuulize bibi yako mbona hana shida atakueleza sababuMtakubaliana nami hapo zamani karibu kila mwanamke kabla hajafika miaka 23 ashaolewa.
Kwa nini kwa sasa wanawake ishazoeleka wanazeeka bila ndoa ?
Hivi sasa kusoma.na kujiandaa kwa ajili ya maisha baada ya ndoa vimesababisha changamoto ya kuchelewa kuoa.
Ugumu wa maisha kutokana na Nahitaji ya maisha inaleta changamoto kubwa.
Wanawake wengi hawakuenda shule.
Thread closed...... sahihi kabisaZamani Wanawake wengi hakupata nafasi ya kusoma ilikuwa ni kuolewa na kutunza familia.
Sahihi kabisawanaume waoaji wenyewe nao wanasuka nywele !!
Nahisi ni swala la system ya elimu.Mtakubaliana nami hapo zamani karibu kila mwanamke kabla hajafika miaka 23 ashaolewa.
Kwa nini kwa sasa wanawake ishazoeleka wanazeeka bila ndoa ?