Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Ukijua haki zako ndio huolewi?Zamani wanawake walikuwa wanafunzwa kwamba wajibu wao pekee ni kuolewa na kuzaa watoto lakini nyakati hizi wameelimika na wanajua haki zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukijua haki zako ndio huolewi?Zamani wanawake walikuwa wanafunzwa kwamba wajibu wao pekee ni kuolewa na kuzaa watoto lakini nyakati hizi wameelimika na wanajua haki zao
kijijini kwetu hapa tarime, wakati nakua miaka ya 1980s kulikuwa na mdada mmoja tu hakuwa ameolewa, na alikuwa na hali fulani kama vile dish limeyumba kiaina, otherwise wengine wote walikuwa wameolewaMtakubaliana nami hapo zamani karibu kila mwanamke kabla hajafika miaka 23 ashaolewa.
Kwa nini kwa sasa wanawake ishazoeleka wanazeeka bila ndoa ?