Ni kwanini katika Vita zinazoendelea Duniani siwaoni Wanawake waliopo jeshini wakiwa Frontline katika mapambano vitani? Haki sawa ipo wapi?

Ni kwanini katika Vita zinazoendelea Duniani siwaoni Wanawake waliopo jeshini wakiwa Frontline katika mapambano vitani? Haki sawa ipo wapi?

hapo nyuma kabla ya miaka ya elf2 kulikua na sheria ya umoja wa mataifa ya kutokuwapeleka wanawake mstari wa mbele wa mapigano.
ila sheria hii imekuja kurekebishwa na sasa wanaweza kupelekwa mbele kwenye mapigano.nafikili nchi zinazopigana bado haziwaamini wanawake.
na kwakua vita za kisasa ni za tekinolojia zaidi basi nao itakua lahisi kuaminiwa kupigana mbele.
 
hapo nyuma kabla ya miaka ya elf2 kulikua na sheria ya umoja wa mataifa ya kutokuwapeleka wanawake mstari wa mbele wa mapigano.
ila sheria hii imekuja kurekebishwa na sasa wanaweza kupelekwa mbele kwenye mapigano.nafikili nchi zinazopigana bado haziwaamini wanawake.
na kwakua vita za kisasa ni za tekinolojia zaidi basi nao itakua lahisi kuaminiwa kupigana mbele.
Kabsa wawekwe mbele na wenyewe
 
Habari zenu, katika kufuatilia vita mbalimbali zinazoendelea Duniani kila siku kuanzia ile ya Ukraine na Urusi mpaka hii ya Israel na Hamas, hata tukija hizi vita za Jeshi la kongo na Waasi ni vigumu sana kuona Wanawake wa kijeshi wakiwa Frontline kupambania nchi zao,

Tofauti na wanaume ambao wao hata sasaivi ukiingia Google ukisearch matukio ya vita au hata zile live stream za CNN au Aljazeera kitu utachoona ni wanaume wapo Frontline wanapigana Vita.....na hata ukibahatika kuona wanawake vitani basi watakuwa ni wachache mno yani inaweza kuwa 10 katika 100 na ni lazima utaona wana back up kadhaa ya wanaume.

Mimi naona hii sio haki kabisa maana hizi sheria za Haki sawa zinatuaminisha kwamba Mwanamke na mwanaume wote inawabidi wapate fursa sawa,

Sasa kivipi tena kwenye mambo ya kutolewa uhai wanawake wanawekwa kando ila kwenye mambo mazuri ya pesa na mali basi Mwanamke hamhitaji hata wakili Mwabukusi ili kushinda kesi maana ana upendeleo mkubwa ila kwenye mambo hatari ya kifo kama vita na oparesheni za kijeshi basi sheria za Haki sawa zinajificha.

Ifike mahali tukubaliane tu hakuna usawa kati ya Mwanaume na mwanamke, mwanamke vitu pekee anavyoweza kuvifanya kwa ufanisi mkubwa ni kuzaa, kulea, kuosha vyombo, kupika, Kutoa buibui ukutani na kadhalika.

Hizi perepeche za Haki sawa hazina maana yoyote maana Mwanaume yupo juu ya Mwanamke kwenye kila idara kuanzia Akili, Ukakamavu, Ugunduzi etc...

Najua nimemkanyaga Nyoka kichwani nimejipanga kwa Vita na imani nimeilinda nawasubiri.

View attachment 3065465
Je unajua kazi ya wanawake jeshini hasa wakati wa vita ni nini?
 
We SIMP malkia Elizabeth alipoanzisha vita vya Falkland 1982 uliona mwanamke frontline?
Maandamano ya juzi Bangladesh ambayo chanzo kikuu ni waziri mkuu mwanamke uliona askari wanawake frontline akizuia ghasia?
Nyie MASIMP mtajipendekeza mpaka lini kwa wanawake?
Malkia Elizabeth hana mamlaka hayo ,bunge ndio linaendesha serikali nyambaf..na wakati unakua kwenu hilo neno SiMp uliwahi kulisikia au kwasababu umeshamalizia chuo na kimkopo cha Heslb basi kiingereza kingi.
 
zinasababishwaje na wanaume pekee?
Vita za kijinga zote duniani zimebabishwa na sisi wanaume.angalia leo Sudan Kusini, Ukraine vs Urusi, Chad, Israel vs the muslim world nk. Nchi zinazoendeshwa za wanawake zina restraint kwenye mambo ya vita.

Xi jinping ukimtukana kidogo,kesho anaanza kuzunguka nchi yako na Navy yake.
 
😂😂😂Aikoooo!
Huko Frontline kwenye mapambano vitani bado mbali sana 🤣😂😂 niliambiwa hata wakiwa kwenye mafunzo tu na mazoezi ya maporini wanakaa nyuma mbali sana na Yale masilaha makubwa mizinga etc.
 
Habari zenu, katika kufuatilia vita mbalimbali zinazoendelea Duniani kila siku kuanzia ile ya Ukraine na Urusi mpaka hii ya Israel na Hamas, hata tukija hizi vita za Jeshi la kongo na Waasi ni vigumu sana kuona Wanawake wa kijeshi wakiwa Frontline kupambania nchi zao,

Tofauti na wanaume ambao wao hata sasaivi ukiingia Google ukisearch matukio ya vita au hata zile live stream za CNN au Aljazeera kitu utachoona ni wanaume wapo Frontline wanapigana Vita.....na hata ukibahatika kuona wanawake vitani basi watakuwa ni wachache mno yani inaweza kuwa 10 katika 100 na ni lazima utaona wana back up kadhaa ya wanaume.

Mimi naona hii sio haki kabisa maana hizi sheria za Haki sawa zinatuaminisha kwamba Mwanamke na mwanaume wote inawabidi wapate fursa sawa,

Sasa kivipi tena kwenye mambo ya kutolewa uhai wanawake wanawekwa kando ila kwenye mambo mazuri ya pesa na mali basi Mwanamke hamhitaji hata wakili Mwabukusi ili kushinda kesi maana ana upendeleo mkubwa ila kwenye mambo hatari ya kifo kama vita na oparesheni za kijeshi basi sheria za Haki sawa zinajificha.

Ifike mahali tukubaliane tu hakuna usawa kati ya Mwanaume na mwanamke, mwanamke vitu pekee anavyoweza kuvifanya kwa ufanisi mkubwa ni kuzaa, kulea, kuosha vyombo, kupika, Kutoa buibui ukutani na kadhalika.

Hizi perepeche za Haki sawa hazina maana yoyote maana Mwanaume yupo juu ya Mwanamke kwenye kila idara kuanzia Akili, Ukakamavu, Ugunduzi etc...

Najua nimemkanyaga Nyoka kichwani nimejipanga kwa Vita na imani nimeilinda nawasubiri.

View attachment 3065465
50/50 is delutional theory, men and women are not equal, a man is more intelligent and masculine.
 
Nakazia Hukumu kidogo hata kwenye vurumai zinazoendelea hapo kwa jirani zetu Kenya hatuoni Wanawake wa kijeshi wakilitumika jeshi lao kwa kuwazuia waandamanaji wa Gen Z,

Je ni kwanini Fursa hii adhimu ya kuonyesha uzalendo wao kwa Taifa kwa kuingia Frontline kuwazuia Waandamanaji hawaipigii kelele za Haki sawa ?
😀😀😀😀 wanataka 50/50 kwenye mambo matamu tamu tu
 
We SIMP malkia Elizabeth alipoanzisha vita vya Falkland 1982 uliona mwanamke frontline?
Maandamano ya juzi Bangladesh ambayo chanzo kikuu ni waziri mkuu mwanamke uliona askari wanawake frontline akizuia ghasia?
Nyie MASIMP mtajipendekeza mpaka lini kwa wanawake?
Ningekua na mamlaka ningeamuru masimp yote yakamatwe yatumbukizwe kwenye pipa la tindikali, yanatudhalilisha sana wanaume haya majitu
 
hao viumbe ni kiburudisho cha makamanda hawawezi vita yoyote ova.
 
Wana kazi yao adhimu jeshini..

Husikiagi wanajeshi wakiziimba "W" tatu?? War, women & whisky/wine.
 
Ila kiuhalisia..

Vita ni kitu cha kifala sana nadhani kuliko kitu chochote kile.
 
Malkia Elizabeth hana mamlaka hayo ,bunge ndio linaendesha serikali nyambaf..na wakati unakua kwenu hilo neno SiMp uliwahi kulisikia au kwasababu umeshamalizia chuo na kimkopo cha Heslb basi kiingereza kingi.
We kweli MPUMBAVU,bunge la UK halina mamlaka ya kutangaza vita isipokuwa linajulishwa katika vikao vya dharura.1982 waziri mkuu Margaret Thatcher(mwanamke) kwa niaba ya malkia Elizabeth(mwanamke) alitangaza vita dhidi ya Argentina bila kuhitaji ruhusa ya bunge.
Muda unaotumia kujipendekeza kwa wanawake utumie kujielimishe we SIMP.
 
Wote tunajua mwanamke akitekwa ni kitu gani cha kwanza atafanyiwa, pili maumbile yao kiasili, atabadilisha pedi ngapi uko msitari wa mbele!
 
Kwa wale mliopata nafasi ya kuhudumu kwenye taasis za ulinzi na usalama. Nadhani mnajua kazi ya wanawake ni nn huko, wengine ili wasiende field wanakamata ujauzito haraka ili wawe watu wa light duty

Ukweli ni kuwa wanataka haki sawa kwenye malipo na opportunity , ila kwenye kazi yenyewe ahhhhhhh
 
Back
Top Bottom