Ni kwanini katika Vita zinazoendelea Duniani siwaoni Wanawake waliopo jeshini wakiwa Frontline katika mapambano vitani? Haki sawa ipo wapi?

Ni kwanini katika Vita zinazoendelea Duniani siwaoni Wanawake waliopo jeshini wakiwa Frontline katika mapambano vitani? Haki sawa ipo wapi?

Malkia Elizabeth hana mamlaka hayo ,bunge ndio linaendesha serikali nyambaf..na wakati unakua kwenu hilo neno SiMp uliwahi kulisikia au kwasababu umeshamalizia chuo na kimkopo cha Heslb basi kiingereza kingi.
Simp acha kelele aka feminist ushavaa gauni tayar
 
We SIMP malkia Elizabeth alipoanzisha vita vya Falkland 1982 uliona mwanamke frontline?

Maandamano ya juzi Bangladesh ambayo chanzo kikuu ni waziri mkuu mwanamke uliona askari wanawake frontline akizuia ghasia?

Nyie MASIMP mtajipendekeza mpaka lini kwa wanawake?
Lkn hebu tulitazame hivi. Ke 1 hubeba mimba 1 kwa miezi 9. Me 1 aweza tungisha mimba ngapi kwa miezi 9?
 
Habari zenu, katika kufuatilia vita mbalimbali zinazoendelea Duniani kila siku kuanzia ile ya Ukraine na Urusi mpaka hii ya Israel na Hamas, hata tukija hizi vita za Jeshi la kongo na Waasi ni vigumu sana kuona Wanawake wa kijeshi wakiwa Frontline kupambania nchi zao,

Tofauti na wanaume ambao wao hata sasaivi ukiingia Google ukisearch matukio ya vita au hata zile live stream za CNN au Aljazeera kitu utachoona ni wanaume wapo Frontline wanapigana Vita.....na hata ukibahatika kuona wanawake vitani basi watakuwa ni wachache mno yani inaweza kuwa 10 katika 100 na ni lazima utaona wana back up kadhaa ya wanaume.

Mimi naona hii sio haki kabisa maana hizi sheria za Haki sawa zinatuaminisha kwamba Mwanamke na mwanaume wote inawabidi wapate fursa sawa,

Sasa kivipi tena kwenye mambo ya kutolewa uhai wanawake wanawekwa kando ila kwenye mambo mazuri ya pesa na mali basi Mwanamke hamhitaji hata wakili Mwabukusi ili kushinda kesi maana ana upendeleo mkubwa ila kwenye mambo hatari ya kifo kama vita na oparesheni za kijeshi basi sheria za Haki sawa zinajificha.

Ifike mahali tukubaliane tu hakuna usawa kati ya Mwanaume na mwanamke, mwanamke vitu pekee anavyoweza kuvifanya kwa ufanisi mkubwa ni kuzaa, kulea, kuosha vyombo, kupika, Kutoa buibui ukutani na kadhalika.

Hizi perepeche za Haki sawa hazina maana yoyote maana Mwanaume yupo juu ya Mwanamke kwenye kila idara kuanzia Akili, Ukakamavu, Ugunduzi etc...

Najua nimemkanyaga Nyoka kichwani nimejipanga kwa Vita na imani nimeilinda nawasubiri.

Unaangalia hao wanawake nyuma ya keyboard au
 
Wanawake wana majukumu yao kijeshi! Mf.kwenye Airforce wamo!
 
Kuna wengine wanapendelewa pale NDC, Mbweni, kule Arusha pale RTS
 
Ukija kuangalia vizuri,kuna kitu utagundua: Boss huhitaji mfanyakazi wa ndani. Mwenye kiwanda,huhitaji vibarua,mfuaji,huhitaji sabuni. Hakika umenielewa. Captain atalalia kitanda kilichotandikwa na mwanaume mwenzake?
 
Habari zenu, katika kufuatilia vita mbalimbali zinazoendelea Duniani kila siku kuanzia ile ya Ukraine na Urusi mpaka hii ya Israel na Hamas, hata tukija hizi vita za Jeshi la kongo na Waasi ni vigumu sana kuona Wanawake wa kijeshi wakiwa Frontline kupambania nchi zao,

Tofauti na wanaume ambao wao hata sasaivi ukiingia Google ukisearch matukio ya vita au hata zile live stream za CNN au Aljazeera kitu utachoona ni wanaume wapo Frontline wanapigana Vita.....na hata ukibahatika kuona wanawake vitani basi watakuwa ni wachache mno yani inaweza kuwa 10 katika 100 na ni lazima utaona wana back up kadhaa ya wanaume.

Mimi naona hii sio haki kabisa maana hizi sheria za Haki sawa zinatuaminisha kwamba Mwanamke na mwanaume wote inawabidi wapate fursa sawa,

Sasa kivipi tena kwenye mambo ya kutolewa uhai wanawake wanawekwa kando ila kwenye mambo mazuri ya pesa na mali basi Mwanamke hamhitaji hata wakili Mwabukusi ili kushinda kesi maana ana upendeleo mkubwa ila kwenye mambo hatari ya kifo kama vita na oparesheni za kijeshi basi sheria za Haki sawa zinajificha.

Ifike mahali tukubaliane tu hakuna usawa kati ya Mwanaume na mwanamke, mwanamke vitu pekee anavyoweza kuvifanya kwa ufanisi mkubwa ni kuzaa, kulea, kuosha vyombo, kupika, Kutoa buibui ukutani na kadhalika.

Hizi perepeche za Haki sawa hazina maana yoyote maana Mwanaume yupo juu ya Mwanamke kwenye kila idara kuanzia Akili, Ukakamavu, Ugunduzi etc...

Najua nimemkanyaga Nyoka kichwani nimejipanga kwa Vita na imani nimeilinda nawasubiri.

Wanawake walianza kuingizwa kwa wingi kwenye majeshi baada ya WWII. Hii ilitokana na askari wengi walioshiriki kwenye ile vita kuishia kupigana miti, hivyo ikabidi kutafuta mbadala. Mpaka hapa unapaswa kujua kazi ya wanawake kwenye majeshi hasa wakati wa vita ni nini.
 
Back
Top Bottom