Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Siwezi kusema kwa yakini maana sijawahi kwenda lakini naamini Mungu haitaji dalali kufikiwa kimaombi.Kwani huko kwa Mwamposa wanaenda kufanya nini mkuu? Ina maana upako wanaopata sio wa kiMungu?