Ni kwanini mafundisho ya viongozi wa dini yamejikita zaidi kwenye ngono?

Ni kwanini mafundisho ya viongozi wa dini yamejikita zaidi kwenye ngono?

Abdul Shiraz bin Tareeq Mahmoud II mbona mna haraka sana, si mshaambiwa mbinguni mtawakuta 70?
1728759764686.jpg
 
Of course tendo la ndoa ni ngono iliyohalalishwa maana kitu ni almost kile kile; style ile ile; matokeo yale yale.
Kweli kabisa mkuu. Tendo ni lile lile na staili ni zile zile. Aache kuwapotosha raia
 
Unataka za kuomba sadaka kama hizi
Hawa hapa ni matapeli ktk dini mkuu. Lakini ukiwasikia mashehe wengi wananukuu hadi biblia kuhusu masuala ya ngono. Mashehe wanasema mtu ukienda peponi utakuta pombe za kumwaga na utapewa mabikra 72 wa kuvinjari nao kila siku.
 
hujawahi kuwajua watumishi wa mungu na wa ibilisi bado
 
hujawahi kuwajua watumishi wa mungu na wa ibilisi bado
Ina maana wanaohimiza ngono ni watumishi wa ibilisi mkuu? Kivipi? Kwani ngono nj dhalmbi?
 
Takwimu zinathibitisha na ukweli unajidhihirisha wazi na kila mahali. Sina shaka hata wewe mwanaJF unayesoma munakasha huu umewahi kusililiza clips za viongozi wa dini ambazo nyingi zinahusu masuala ya ngono na kujamiiana.
Hebu pia msikilize na huyu kiongozi wa dini jinsi mafundisho yake yanavyohamasisha ngono na kujamiiana:
SWALI
Je, ni kweli mafundisho kwenye misahafu yanasisitiza masuala ya ngono kiasi hiki au ni tamaa binafsi tu za viongozi wa dini ndizo zinazowasukuma wakazanie mafundisho ya ngono kila kukicha?
Hivi mume wa mchungaji Rose Shaboka ni nani? Atakuwa anafaidi sana aisee!
 
Ina maana wanaohimiza ngono ni watumishi wa ibilisi mkuu? Kivipi? Kwani ngono nj dhalmbi?
hao ni wana psychology.
hakuna mtu kwenye maandiko amewahi kuwa na mahubiri ya namna io.
pia biblia imekataza mwanamke kuwa mhubiri kanisani
 
hao ni wana psychology.
hakuna mtu kwenye maandiko amewahi kuwa na mahubiri ya namna io.
pia biblia imekataza mwanamke kuwa mhubiri kanisani
Biblia gani imezuia mkuu? Sio kila jambo liliandikwa linamaanisha yaliyomo.
 
Biblia gani imezuia mkuu? Sio kila jambo liliandikwa linamaanisha yaliyomo.
kila jambo lililoandikwa linamaanisha yaliyomo.
biblia inasema neno la mungu limekamilika usiongeze wala usipunguze
 
Back
Top Bottom