The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Siyo kweli. Magazeti ya HabariLeo na UHURU hawajaipa kipaumbele hiyo habari. Acha uchawaNimepitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo karibia yoote hata uhuru gazeti pendwa la chama na yale yanayojulikana kuwa na chuki na upinzani yameishabikia sana habari ya Lisu kutangaza nia ya kuchuana kuiwania nafasi ya mwenyekiti wa chadema!.
Ni kwa nini imekuwa hivyo!?
Kwamba yanakua tu kama majarida ya mnara wa mlinzi ?😁Bila kuandika kuhusu Lissu na CHADEMA watamuuzia nani broshua/brochures zao?Soma akili zao utaelewa.
Nadhani we ndo chawa gazeti gani kati ya hayo halina habari ya Lisu front pageSiyo kweli. Magazeti ya HabariLeo na UHURU hawajaipa kipaumbele hiyo habari. Acha uchawa
Wewe uliwahi kununua majarida ya mnara wa mlinzi?Ni bure tu.Kuandika mitano tena imechosha watu.Kwamba yanakua tu kama majarida ya mnara wa mlinzi ?😁
Biashara imetangazwa.Nimepitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo karibia yoote hata Uhuru gazeti pendwa la chama na yale yanayojulikana kuwa na chuki na upinzani yameishabikia sana habari ya Lissu kutangaza nia ya kuchuana kuiwania nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA!.
Ni kwa nini imekuwa hivyo!?
Nimepitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo karibia yoote hata Uhuru gazeti pendwa la chama na yale yanayojulikana kuwa na chuki na upinzani yameishabikia sana habari ya Lissu kutangaza nia ya kuchuana kuiwania nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA!.
Ni kwa nini imekuwa hivyo!?
kwasasababu ni muhimu sana kujua huo ni uchu wa madaraka, tamaa ya vyeo na mamlaka au ni shinikizo kutoka kwa mabwenyenye ya magharibi yanayombackup, kuacha umakamu mwenyekiti na ghafla kudandia uenyekiti Taifa.Nimepitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo karibia yoote hata Uhuru gazeti pendwa la chama na yale yanayojulikana kuwa na chuki na upinzani yameishabikia sana habari ya Lissu kutangaza nia ya kuchuana kuiwania nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA!.
Ni kwa nini imekuwa hivyo!?
CCM ina hofu kubwa sana na Mbowe na tutamchagua huyo huyo!Nimepitia vichwa vya habari vya magazeti ya leo karibia yoote hata Uhuru gazeti pendwa la chama na yale yanayojulikana kuwa na chuki na upinzani yameishabikia sana habari ya Lissu kutangaza nia ya kuchuana kuiwania nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA!.
Ni kwa nini imekuwa hivyo!?
Kwa hiyo wanampigania Lisu?CCM ina hofu kubwa sana na Mbowe na tutamchagua huyo huyo!
Ila kwa namna yalivyoandika ni kama ccm wanashabikia sana Lisu akomae na nia yake ya kuutaka uenyekiti kwa kuwa chama chao kitanufaika ila najiuliza kitanufaikaje!?kwasasababu ni muhimu sana kujua huo ni uchu wa madaraka, tamaa ya vyeo na mamlaka au ni shinikizo kutoka kwa mabwenyenye ya magharibi yanayombackup, kuacha umakamu mwenyekiti na ghafla kudandia uenyekiti Taifa.
nadhan hilo ndilo haswa wengi wanataka kulibaini na kuligahamu kwa undani. Na ni uhuru na haki ya kila mwananchi kupata habari 🐒
Yap kuna namna kuna kahila kamejifichaSio magazeti tu hata redio na tv zilifanya coverage na airtime ya kutosha kwa habari hiyo. Ilishangaza sana habari ya Lissu kutangaza kusudio la kugombea uenyekiti wa CHADEMA kushadidiwa kwa kiasi kikubwa zaidi kuliko wakati anagombea urais kupitia chama hicho. Hii si kawaida mpinzani kutangazwa vile kana kwamba ni wa CCM
suala la kunufaika au kutonufaika huwa ni dhana tu ambayo hupewa promotions.Ila kwa namna yalivyoandika ni kama ccm wanashabikia sana Lisu akomae na nia yake ya kuutaka uenyekiti kwa kuwa chama chao kitanufaika ila najiuliza kitanufaikaje!?