Ni Kwanini Mdude Nyagali hakamatwi na hachukuliwi Hatua Kali Kwa Kuendelea Kumchafua Rais Samia Bila Ushahidi?

Jamaa amezidi ,hata kama ni kukosoa anavuka mipaka.
 
Mimi nadhani wewe sio mjinga bali ni mpumbavu! I hope you know the difference? This refers to chawa Mwashambwa🤪
 

"Wasiojulikana" wanaichafua nchi sana lakini mbona nao hawakamatwi? Achana na Mdude Sumu ya nyigu 7x70.

Mmezoea kuwatawala waTZ waoga tu ,wakitokeza wanaojua haki zao mnataka kuwakamata ,tendeni haki uone kama watu design ya kina mdude watatokea ,nyie mnadhani milivyomuua Ben Saanane mkajua ndiyo mmemaliza ,hamuwezi kumaliza wote hata mkimuua Mdude kuna wengine wataibuka wa KUSHATO.
 
Acheni ujinga wa kuropoka ropoka vitu Ndivyo na ushahidi navyo .kwa lengo la kutafuta umaarufu na sifa tu za kijinga jinga tu
We mpumbavu hujui hata historia ya visiwani! Karume alipigwa risasi mchana kweupe huku akicheza dhumna pale ccm Kisiwandui. Kijana aliyempiga risasi, baba yake aliuliwa na Abeid Karume!! Karume aliua watu wengi akiwemo Kassim Hanga na Shariff Othman!!
Damu ya mwana Adam ni nzito haiendi bure.
 
Wewe mwendawazimu hiyo kazi ilimshinda Magufuli nyie hamtaiweza
Hamtaiweza.
Nawahakikishia hamtaiweza.
Mjifunze kutoka kwa mungu wenu Magufuli.
 
Huoni kuwa ametoa tuhuma za uongo na uzushi pia ambazo ni jinai na amevunja pia sheria za kimtandao kwa kutoa taarifa za uongo?
Kuongopa, au kutoa tuhuma za uongo sio kosa la jinai. Ingekuwa ni jinai, mtu akisinda kesi ya jinai mahakaman basi i tungekuwa tunawarudia kumshtaki mwendesha mashtaka kwa kutoa tuhuma za uongo.

Mdude Nyagali katoa maoni, kwamba hotuba ya Samia is the worst in country's post independence history. Hundreds of thousands of citizens who heard the speech have echoed the views of Mdude Nyagali.

Ni nini kipya na cha ajabu ulichosema ubalozi wa Marekani ambacho kiko so outlandish cha kudhani hakina baraka za State Deparrment ya Marekani ?

Kwamba Samia akipigia simu Joe Biden atamwambia Samia usikonde, mpotezee huyo mtu, balozi chizi huyo balozi. Ataambiwa na Biden Madam President you are doing a marvelous job kidnapping and chinjaring those CHA
DEMA guys!!!
 
Pumbafuuu Wewe Sasa Kama hakipo SAWA unaandika pumba Gani Hapa???
Kwanini Hivi unaelewa ulichoandika? Unaelewa nilichoandika? Kwanini umekurupuka tu kama kuku?
 
Naona umekurupuka kama mlevi na huelewi haya msingi wa hoja yangu.pole sana kwa ukurupukaji wako.
 
Wewe ropoka tu lakini fahamu ya kuwa hakuna aliye juu ya sheria.na huyo Mdude atawajibika tu.
 
Ndio maana naona umekurupuka sana .maana mfano uliotolea siyo msingi wa hoja yangu.
Msingi wa hoja yako ni uchawa wako kutaka kuaminisha umma kuwa viongozi wa serikali hii mfu ni infallible which is not true!
Ubaya wa nyinyi chawa mnashindwa hata kumwambia Samia kuwa hao anaowaua na kuwatesa wamezaliwa na mama zao kama yeye alivyomzaa mwanae Abdul ; na si hivyo tu wengine kama marehemu Kibao ni waume za wanawake kama nae alivyokuwa mumewe Hafidh!! Kujua machungu wanayopitia ajaribu kujiweka kwenye nafasi zao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…