Ni kwanini mikoa ya Pwani ya Bahari pamoja na Zanzibar wezi hawapigwi sana?

Ni kwanini mikoa ya Pwani ya Bahari pamoja na Zanzibar wezi hawapigwi sana?

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
1668369232385.png

Mikoa hii mwizi anaweza kujieleza kwanza, anaweza kukanywa, kupelekwa kituoni ama ikitokea kupigwa ni dozi ya kati tu.
  1. Tanga
  2. Pwani
  3. Pemba
  4. Unguja,
  5. Dar kwa zamani ila sasa wageni wengi sana.

Mikoa mingine hata wahuni wakikuitia mwizi umekwisha, hakuna muda wa kukusikiliza, watu wanakusanyika kipigo kinaanza hapo hapo, ponea ya mwizi ni kipigo kizito, adhabu huwa ni za kikatili sana kama

Kuchomwa moto na tairi
Kukatwa mikono (vesti)
Kukatwa miguu (pensi),
Kushindiliwa na mawe makubwa
n.k.
 
Tanga, Pwani, Pemba, Unguja, Dar kwa zamani ila sasa wageni wengi sana.

Mikoa hii wezi wakikamatwa wanapigwa kidogo tofauti na mikoa mingine wanatoa kiminyo haswaaaa
Kuna kitu utu na huruma pwani inatambua kuwa mpaka mtu kaiba basi ana shida, halafu

Pia mikoa ya pwani inatambua kama vita haimalizwi kwa maneno basi hata kwa bastola pia haimaliziki.

Huamini sana katika kuzungumza na mtu kuliko kumpiga ili aache tabia fulani
 
Sasa mtu ale urojo ataweza kweli kunyanyua tofali kushusha kwenye kichwa ya mwizi??
 
View attachment 2415865

Mikoa hii mwizi anaweza kujieleza kwanza, anaweza kukanywa, kupelekwa kituoni ama ikitokea kupigwa ni dozi ya kati tu
  1. Tanga
  2. Pwani
  3. Pemba
  4. Unguja,
  5. Dar kwa zamani ila sasa wageni wengi sana.

mikoa mingine hata wahuni wakikuitia mwizi umekwisha, Hakuna muda wa kukusikiliza, watu wanakusanyika kipigo kinaanza hapo hapo, ponea ya mwizi ni kipigo kizito, adhabu huwa ni za kikatili sana kama

Kuchomwa moto na tairi
Kukatwa mikono (vesti)
Kukatwa miguu (pensi),
Kushindiliwa na mawe makubwa
n.k.
WaTz ni katili na wana roho mbaya sana! Kuumuza, kuua binadamu wenzao wanaona raha na ufahari!
 
😂😂😂Achana na story watu wanapondwa balaa mpaka wanafanana
 
Ulishafanya utafiti na kujiridhisha na hilo jambo? Kwa upande wa Dar nadhani utakuwa ni mgeni wewe.
 
Back
Top Bottom