AhahahahaaahhaaahahaSiku hizi wanawake wanalazimisha kuolewa asikwambie mtu,
Kuna kitu utu na huruma pwani inatambua kuwa mpaka mtu kaiba basi ana shida, halafuTanga, Pwani, Pemba, Unguja, Dar kwa zamani ila sasa wageni wengi sana.
Mikoa hii wezi wakikamatwa wanapigwa kidogo tofauti na mikoa mingine wanatoa kiminyo haswaaaa
WaTz ni katili na wana roho mbaya sana! Kuumuza, kuua binadamu wenzao wanaona raha na ufahari!View attachment 2415865
Mikoa hii mwizi anaweza kujieleza kwanza, anaweza kukanywa, kupelekwa kituoni ama ikitokea kupigwa ni dozi ya kati tu
- Tanga
- Pwani
- Pemba
- Unguja,
- Dar kwa zamani ila sasa wageni wengi sana.
mikoa mingine hata wahuni wakikuitia mwizi umekwisha, Hakuna muda wa kukusikiliza, watu wanakusanyika kipigo kinaanza hapo hapo, ponea ya mwizi ni kipigo kizito, adhabu huwa ni za kikatili sana kama
Kuchomwa moto na tairi
Kukatwa mikono (vesti)
Kukatwa miguu (pensi),
Kushindiliwa na mawe makubwa
n.k.
Mtoa mada, great thinker huyu hapa amejibu njoo ushangae ya malimwengu!Sasa mtu ale urojo ataweza kweli kunyanyua tofali kushusha kwenye kichwa ya mwizi??
Ujenzi wa nyumba zao, nyie ndiyo huja kuwa vibarua wa kubeba tofari siyo.Sasa mtu ale urojo ataweza kweli kunyanyua tofali kushusha kwenye kichwa ya mwizi??
Hujasoma maelezo, umesoma kichwa cha habari tu.Ulishafanya utafiti na kujiridhisha na hilo jambo? Kwa upande wa Dar nadhani utakuwa ni mgeni wewe.