Ni kwanini mpaka sasa hakuna chama cha upinzani kimetoa tamko kufuatia mambo ya Ng'umbi?

Ni kwanini mpaka sasa hakuna chama cha upinzani kimetoa tamko kufuatia mambo ya Ng'umbi?

Mimi nilitegemea hili jambo lingefungua ukurasa mpya wa hasira za kutaka mabadiliko katika mifumo yetu ya uchaguzi badala yake naona wapinzani wote wapo kimya tu shida Iko wapi!?

Unajua hili jambo limeleta dharau kubwa sana kwa watanzania na nadhani kwa kuwa ushahidi uko wazi kabisa kelele za wapinzani zingewafanya CCM waone aibu waje kwa meza ya mazungumzo ili kufuta huu mfumo.
Kwa nini unafikiri upinzani ndiyo wana wajibu na siyo wananchi wote kwa ujumla? Ile kauli ni kama ametukana wananchi na wananchi ndiyo walitakiwa wakiwashe. Acha mambo yajiendee yenyewe ila kuna siku hata waliopo CCM watakuja kujuta.
 
Nasubiri kusikia tume "huru" ya uchaguzi itasema nini
Wamepakwa matope, wasikae kimya, wamekosa uhalali!!
 
Mimi nilitegemea hili jambo lingefungua ukurasa mpya wa hasira za kutaka mabadiliko katika mifumo yetu ya uchaguzi badala yake naona wapinzani wote wapo kimya tu shida Iko wapi!?

Unajua hili jambo limeleta dharau kubwa sana kwa watanzania na nadhani kwa kuwa ushahidi uko wazi kabisa kelele za wapinzani zingewafanya CCM waone aibu waje kwa meza ya mazungumzo ili kufuta huu mfumo.
Wapo bize wanawaza kushiriki kwenye maboresho ya daftari la uchaguzi!
Wanafunguliwa codes lakini wao hawafunguki
Aibu sana!
 
Back
Top Bottom