Technology inayotumika kuyaunda haifanani na Japanese cars..
Its not about technology maana car architecture inahusisha components zile zile tu. Chassis, body, matairi, breki, suspensions, axle, gearbox, engine,usukani,gia, viti, infotainment sys,ac, taa n.k! Vyote unavipata katika gari zote iwe Germany au Mjapani.
Sema tu tofauti inakuwa ni additional safety features & cosmetics (e-controlled system za suspension,driving assist,combustion,braking kama abs,stability,lighting n.k) ambazo mjapani hajaziweka kwenye gari zake za bei rahisi. Ila ukiangalia gari za aghali ndio unazipata kama kawaida tu kama ilivyo kwa Benz japo engineering iko tofauti.
Kitu kinachotofautisha Benz ni branding & positioning tu. Jamaa wamejiposition kama Executive & super luxury vehicle manufacturers na wamekiplant hiko kitu kwenye akili ya wateja wao. Mercedes is all expensive because of that. Mercedes ime target specific type of customers mara nyingi ni CEO's na Executive personnels kama ma raisi.
Ila sio kama hamna gari zuri zaidi ya Merc toka makampuni mengine..nakataa!