Ni kwanini Serikali imeshindwa kumlinda Hayati Magufuli, kuna nini nyuma ya kuchafuka kwake ?

Bila Kumchafua mwaka huu patakuwa pagumu sana Kujieleza Kwenye Majukwaa ya Kisiasa mana Chuma bado anaishi kwenye Mioyo ya Watanzania ivo Ku ruin reputation yake ni jambo jema ili kuwapa watawala Platform, Kwa Muda alio ishi JPM na Iniatiave alizofanya wewe hushangai hata kwanini Vitu alivyo anzisha vikubwa vinakuwa Commissioned na husikii popote anatajwa au hutajwa kwa uchache wakati yeye ndio alikuwa champion haswa haswa miradi Mikubwa ya Construction hakuna Archives wala library kueleza mazuri yake wala husikii hata Social media accounts zake zikiendeshwa kutuonesha mazuri yake
Hata hili la Kabendera halijaja by Chance
 
Unataka kupingana na ukweli? Ni sawa na baadae mama akitoka halafu watu wakaanza kumsema "alikuwa anachekea utekaji , alisema kifo ni kifo alipo uawa ally kibao, aligawa mbuga kwa wajomba, aligawa bandari" halafu unataka watu wajitokeze kumtetea , sasa watatetea nini hapo wakati yote ni kweli?
 
Mbona yakiandikwa mazuri dhidi yake mnafurahia? Vumilieni ht huo upande mwingine, alitesa sana binadamu wenzake.
 
Kitabu kimeandikwa mapema mno. Wakina eugine maganga walikuja kusimulia yale mapinduzi yao ya kumpindua nyerere in the late years.
 
Hapa tunasebiria cha mama Abdul naye alivyoendeleza kazi aliyoanza jiwe maana naye anapiga kazi kinoma Kipanya,Soka na wenzake,Chaula,Mzee Kibao na funga kazi uchafuzi wa serikali za mitaa 2024 na bado tunaendelea kumhesabia.
 
Magu anavuna matendo ya ubaya wake
 
Yeye mweyewe alichafua. Na hasfshiki kabisa. Alikuwa chinja chinja
 
He was the worst president this country has ever had. Some might even equate his demise with a silent coup de tat..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…