Yeye mqenyewe alikuwa jizi. Ni kwamba tu hakuna aliyekuw na ubavu wa kuandika wizi wake. Unafikiri kwa nini tenda zote za ujenzi zilikuwa hazishindanishwi?Majizi yaliyomuua ndio yanafurukuta muda huu na kubwata kwa kasi.
Aliwanyorosha mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye mqenyewe alikuwa jizi. Ni kwamba tu hakuna aliyekuw na ubavu wa kuandika wizi wake. Unafikiri kwa nini tenda zote za ujenzi zilikuwa hazishindanishwi?Majizi yaliyomuua ndio yanafurukuta muda huu na kubwata kwa kasi.
Aliwanyorosha mno.
The guy didn't mean defending his (Magufuli) physical body but rather his legacy..Serikali hailindi dead peoples
Yeyote huko serikalini akijitokeza maana yake na yeye pia alishiriki katka hayo yanayodaiwa na Erick kwamba JPM alimuua mtu point blank. ndio maana wako kimya, wanaangalia upepo.Kuna kitu sikielewi huyu mtu aliwakosea nini waliopo Serikalini ?
Mfano ,kitabu cha in the name of president cha kabendera kuna WALIOSHUHUDIA na WALIOONA, NILISIKIA na ndio ushahidi tuende nao ?
Toka ameondoka ni mapya kila siku lakini hakuna yoyote anainua mdomo kukemea , shida nini ?
Huyu mtu atarudi ?
Yes ukweli yaani huyu mjinga katutonesha sana, Mungu wetu yu hai anayaona machozi yetu, hayawezi potea bureKuna kitu sikielewi huyu mtu aliwakosea nini waliopo Serikalini ?
Mfano ,kitabu cha in the name of president cha kabendera kuna WALIOSHUHUDIA na WALIOONA, NILISIKIA na ndio ushahidi tuende nao ?
Toka ameondoka ni mapya kila siku lakini hakuna yoyote anainua mdomo kukemea , shida nini ?
Huyu mtu atarudi ?
Kokesku Nicolae wa Romania, Pinochet wa Chile, just naming a few..Unataka imlinde kwa unyama na udhalimu wake?
Maisha ni hadithi tu, na kila mtu anaandika hadithi yake. Ukiandika ushenzi , uonevu, ukatili, dhulma, usitegemee serikali inayofuata ije ikulinde!
Hapa a serikali kuna namna inafanya kazi. Unakumbuka wale waliokuwa wanadhihaki hapa JF waliishia wapi??? Jiulize, usikomenti ujinga, Dkt Magufuli ni taasisi ya urais!Yeyote huko serikalini akijitokeza maana yake na yeye pia alishiriki katka hayo yanayodaiwa na Erick kwamba JPM alimuua mtu point blank. ndio maana wako kimya, wanaangalia upepo.
Unataka imlinde kwa unyama na udhalimu wake?
Maisha ni hadithi tu, na kila mtu anaandika hadithi yake. Ukiandika ushenzi , uonevu, ukatili, dhulma, usitegemee serikali inayofuata ije ikulinde!
Serikali inamlinda Magufuli ndio maana wameweka walinzi wa kulinda kaburi lake saa 24 mkuu. Wewe ulitaka wamlindeje zaidi ya hapo?Kuna kitu sikielewi huyu mtu aliwakosea nini waliopo Serikalini ?
Mfano ,kitabu cha in the name of president cha kabendera kuna WALIOSHUHUDIA na WALIOONA, NILISIKIA na ndio ushahidi tuende nao ?
Toka ameondoka ni mapya kila siku lakini hakuna yoyote anainua mdomo kukemea , shida nini ?
Huyu mtu atarudi ?
JWanataka kuua Legacy.
Unyama gani? Udhalimu gani?
Kuwatoa watu ambao ni vyeti feki udhalimu?
Kuwachukulia hatua watu ambao walikuwa wanakula ela za wafanyakazi hewa nayo ni dhambi?
Watu wote ambao walikuwa wanamchukia magufuli walikuwa wanafanya vitu ambavyo havikuwa na uhalali
Wewe kama ulikuwa unapata salary yako vizuri unafanya kazi yako vizuri ubaya wa magufuli uko wapi?
J
Hayo yote angeweza kuyafanya bila kumshoot Saa8, Au kuagiza Lissu apigwe shaba
saa8 kaondoka na akarudi saa100- ajabu na kweli...J
Hayo yote angeweza kuyafanya bila kumshoot Saa8, Au kuagiza Lissu apigwe shaba
Kuna kitu sikielewi huyu mtu aliwakosea nini waliopo Serikalini ?
Mfano ,kitabu cha in the name of president cha kabendera kuna WALIOSHUHUDIA na WALIOONA, NILISIKIA na ndio ushahidi tuende nao ?
Toka ameondoka ni mapya kila siku lakini hakuna yoyote anainua mdomo kukemea , shida nini ?
Huyu mtu atarudi ?
Not the goverment job either, you either had a good run or not. Legacy saves itself, no need of defendingThe guy didn't mean defending his (Magufuli) physical body but rather his legacy..
Hasa tuhuma za ubakaji hazikupaswa kunyamaziwa na mtuhumiwà.Kuna kitu sikielewi huyu mtu aliwakosea nini waliopo Serikalini ?
Mfano ,kitabu cha in the name of president cha kabendera kuna WALIOSHUHUDIA na WALIOONA, NILISIKIA na ndio ushahidi tuende nao ?
Toka ameondoka ni mapya kila siku lakini hakuna yoyote anainua mdomo kukemea , shida nini ?
Huyu mtu atarudi ?
Kwenye yote uliyouliza nina jibu moja for sure huyo mtu hatarudiHuyu mtu atarudi ?
Huyo alikuwa mwehu na mpumbavu, ndiyo maana yeye mwenyewe alijiita kichaa na mvuta bangiLegacy inauawa hivyo ili wakigombea mwaka huu wasiwe na mzigo wa kuelezea kwanini hawajafanya kama chuma ... bulldozer mwenyewe.
Mungu atamlinda daima. Hata Mimi naona kimya chao kina walakini. Najua Magufuli ndiye anawanyima usingizi kwasababu utendaji wao unapimwa kwa magufuli. Hivyo wanaona wananchi wakimtaja kwa kumkumbuka wao inawauma mnoKuna kitu sikielewi huyu mtu aliwakosea nini waliopo Serikalini ?
Mfano ,kitabu cha in the name of president cha kabendera kuna WALIOSHUHUDIA na WALIOONA, NILISIKIA na ndio ushahidi tuende nao ?
Toka ameondoka ni mapya kila siku lakini hakuna yoyote anainua mdomo kukemea , shida nini ?
Huyu mtu atarudi ?