The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Ndugu wanabodi nimekutana na huu mkanganyiko hasa kwa wahitimu wa jinsia ya kiume, ambao katika uchaguzi wao wa masomo walichagua kusoma sayansi, isitoshe wamepata credit zinazokidhi kuendelea na masomo ya sayansi.
Kwa mshtuko na mshangao wengi wao wamechaguliwa wakasome masomo ya art Kwa ngazi ya A level.
Kwa mtazamo wangu naona ni kama serikali imeamua kuua ndoto za maelfu ya vijana Kwa makusudi Kwa kuwalazimisha kusoma vitu ambavyo hawakuchagua kuvisoma.
Kwa mshtuko na mshangao wengi wao wamechaguliwa wakasome masomo ya art Kwa ngazi ya A level.
Kwa mtazamo wangu naona ni kama serikali imeamua kuua ndoto za maelfu ya vijana Kwa makusudi Kwa kuwalazimisha kusoma vitu ambavyo hawakuchagua kuvisoma.