Ingekuwa vyema ungeleta ushahidi wa hicho unachokisema kwamba yupo aliyeomba kusoma maybe pcm/pcb/cbg/pgm kwenye machaguo yake na hakuomba hkl ama hgl lakini akapangiwa hkl ambayo haikuwa chaguo lake!!!
Ipo tendency unakuta mwanafunzi alichagua hkl kama chaguo la tatu ama la mwisho kisha anapelekwa hiyo hkl, halafu anakuja kulia eti hkl haikuwa chaguo lake, na watu kama wewe mleta uzi mnaanza kukurupuka kwamba kapelekwa chaguo lisilokuwa la kwake!
Uzuri mmoja kwa sasa bila shaka mfumo unaruhusu mwanafunzi kufanya machaguo baada ya matokeo!!
Hivyo ili kujiridhisha unachosema hakina magumashi, naomba uanike ushahidi humu kwa kuonyesha machaguo ya hao unaowasemea walichoomba kusoma kabla na walichopangiwa!