Ni kwanini serikali imewachagulia wanafunzi wa sayansi kusoma art 'A' level ilihali wanapenda sayansi!?

Ni kwanini serikali imewachagulia wanafunzi wa sayansi kusoma art 'A' level ilihali wanapenda sayansi!?

Wamewasaidia. Mziki wa sayansi A level sio wa kitoto.
Ukienda na makalai yako kufeli six nje nje
Wacha ujinga. Kufeli ni kuamua tu hakuna cha mziki wala dance. Mwache mtu achague anachoona kinamfaa
 
Ndugu wanabodi nimekutana na huu mkanganyiko hasa kwa wahitimu wa jinsia ya kiume, ambao katika uchaguzi wao wa masomo walichagua kusoma sayansi, isitoshe wamepata credit zinazokidhi kuendelea na masomo ya sayansi.
Kwa mshtuko na mshangao wengi wao wamechaguliwa wakasome masomo ya art Kwa ngazi ya A level.

Kwa mtazamo wangu naona ni kama serikali imeamua kuua ndoto za maelfu ya vijana Kwa makusudi Kwa kuwalazimisha kusoma vitu ambavyo hawakuchagua kuvisoma.
Waje kusoma vyuo vya Afya waachane na form five
 
Ndugu wanabodi nimekutana na huu mkanganyiko hasa kwa wahitimu wa jinsia ya kiume, ambao katika uchaguzi wao wa masomo walichagua kusoma sayansi, isitoshe wamepata credit zinazokidhi kuendelea na masomo ya sayansi.
Kwa mshtuko na mshangao wengi wao wamechaguliwa wakasome masomo ya art Kwa ngazi ya A level.

Kwa mtazamo wangu naona ni kama serikali imeamua kuua ndoto za maelfu ya vijana Kwa makusudi Kwa kuwalazimisha kusoma vitu ambavyo hawakuchagua kuvisoma.
Mikakati ya Mashoga itakuwa
 
Ndugu wanabodi nimekutana na huu mkanganyiko hasa kwa wahitimu wa jinsia ya kiume, ambao katika uchaguzi wao wa masomo walichagua kusoma sayansi, isitoshe wamepata credit zinazokidhi kuendelea na masomo ya sayansi.
Kwa mshtuko na mshangao wengi wao wamechaguliwa wakasome masomo ya art Kwa ngazi ya A level.

Kwa mtazamo wangu naona ni kama serikali imeamua kuua ndoto za maelfu ya vijana Kwa makusudi Kwa kuwalazimisha kusoma vitu ambavyo hawakuchagua kuvisoma.
Mkiawmbiwa mchangie ujenzi wa Shule mnakataa mnasema ni kazi ya Serikali. Na Sasa Serikali inasema haina nafasi za kutosha kuweka wanafunzi wote waliofaulu masomo ya kutosha. Unataka Serikali ifanyeje? Iwape wakasome masomo ya art au wasubiri mpaka nafasi zitakspopatikana?
 
Mkiawmbiwa mchangie ujenzi wa Shule mnakataa mnasema ni kazi ya Serikali. Na Sasa Serikali inasema haina nafasi za kutosha kuweka wanafunzi wote waliofaulu masomo ya kutosha. Unataka Serikali ifanyeje? Iwape wakasome masomo ya art au wasubiri mpaka nafasi zitakspopatikana?
Hizi hoja zako zina maudhi sana au wewe ndo mkenda mwenyewe!?
Kila siku serikali inahamasisha watoto wasome sayansi kama walijua miundombinu hawana si wangefuta hiyo kampeni!?

Sijawahi kumsikia hata kiongozi mmoja kuwatia moyo wanafunzi wapende masomo ya art now Kwa nini kuwavunja moyo waliosoma sayans?
 
Ndugu wanabodi nimekutana na huu mkanganyiko hasa kwa wahitimu wa jinsia ya kiume, ambao katika uchaguzi wao wa masomo walichagua kusoma sayansi, isitoshe wamepata credit zinazokidhi kuendelea na masomo ya sayansi.
Kwa mshtuko na mshangao wengi wao wamechaguliwa wakasome masomo ya art Kwa ngazi ya A level.

Kwa mtazamo wangu naona ni kama serikali imeamua kuua ndoto za maelfu ya vijana Kwa makusudi Kwa kuwalazimisha kusoma vitu ambavyo hawakuchagua kuvisoma.
Elimu ya bure haina maana, alisikika Ney wa Mitego
 
Hizi hoja zako zina maudhi sana au wewe ndo mkenda mwenyewe!?
Kila siku serikali inahamasisha watoto wasome sayansi kama walijua miundombinu hawana si wangefuta hiyo kampeni!?

Sijawahi kumsikia hata kiongozi mmoja kuwatia moyo wanafunzi wapende masomo ya art now Kwa nini kuwavunja moyo waliosoma sayans?
Mimi nimekupa "a point blank" answer. Yaliyobaki juu yako.
 
Wamewasaidia. Mziki wa sayansi A level sio wa kitoto.
Ukienda na makalai yako kufeli six nje nje
Kabisa Mimi Nina mdogo wangu alikuwa anapenda science sana matokeo ya form four alikuwa ana two alilia sana alipopangwa kusoma masomo ya Arts lakini form six alitoka na division one nzuri wakati rafiki zake wote walioenda science walipata four na zero ....Huwa anawashukuru sana Kwa kumpanga masomo ya Arts
 
Kabisa Mimi Nina mdogo wangu alikuwa anapenda science sana matokeo ya form four alikuwa ana two alilia sana alipopangwa kusoma masomo ya Arts lakini form six alitoka na division one nzuri wakati rafiki zake wote walioenda science walipata four na zero ....Huwa anawashukuru sana Kwa kumpanga masomo ya Arts
Hoja ya msingi si kupata one hoja ni mtu kusoma anachokipenda na ndoto ya maisha yake
 
Ingekuwa vyema ungeleta ushahidi wa hicho unachokisema kwamba yupo aliyeomba kusoma maybe pcm/pcb/cbg/pgm kwenye machaguo yake na hakuomba hkl ama hgl lakini akapangiwa hkl ambayo haikuwa chaguo lake!!!
Ipo tendency unakuta mwanafunzi alichagua hkl kama chaguo la tatu ama la mwisho kisha anapelekwa hiyo hkl, halafu anakuja kulia eti hkl haikuwa chaguo lake, na watu kama wewe mleta uzi mnaanza kukurupuka kwamba kapelekwa chaguo lisilokuwa la kwake!
Uzuri mmoja kwa sasa bila shaka mfumo unaruhusu mwanafunzi kufanya machaguo baada ya matokeo!!
Hivyo ili kujiridhisha unachosema hakina magumashi, naomba uanike ushahidi humu kwa kuonyesha machaguo ya hao unaowasemea walichoomba kusoma kabla na walichopangiwa!
Wengi tuatoto
 
Wacha ujinga. Kufeli ni kuamua tu hakuna cha mziki wala dance. Mwache mtu achague anachoona kinamfaa
Mtu kapata zake ccc PCM au PCB Form four. Alienda six huyo four au kutaga nje nje. Labda serikali iingilie kati iwaonee huruma
 
Sasa kama akienda kusoma science A level akapata zero hizi ndoto zake atazitimizaje
Mtu akipata ccc kama ana hofu ya jufeli huko mbele anatakiwa kutafuta chuo cha ujuzi anaoutaka na sio kumwambia akasome art
 
Back
Top Bottom