PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
Mashabiki na viongozi wa SIMBA SC wamekua wakijinasibu ya kwamba SIMBA SC ni timu bora.
SIMBA SC pamoja na kupangwa kundi bovu lakini ilifuzu kwa tabu sana.
SIMBA SC imetolewa kwa kipigo cha aibu cha nje ndani kutoka kwa Ahly iliyojichokea sana msimu huu.
Je ubora wa SIMBA ni upi?
Je, nini kitaikwamisha Young Africans SC kuifunga SIMBA SC gori 5 mechi ijayo ya NBCPL?
SIMBA SC pamoja na kupangwa kundi bovu lakini ilifuzu kwa tabu sana.
SIMBA SC imetolewa kwa kipigo cha aibu cha nje ndani kutoka kwa Ahly iliyojichokea sana msimu huu.
Je ubora wa SIMBA ni upi?
Je, nini kitaikwamisha Young Africans SC kuifunga SIMBA SC gori 5 mechi ijayo ya NBCPL?