Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Tutegemee vitu bomba 😄Kiongozi ni Steve Nyerere. Hapo unategemea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutegemee vitu bomba 😄Kiongozi ni Steve Nyerere. Hapo unategemea nini?
Hali inazidi kutisha sana katika upande wa bongo movies, kwani hiyo tasnia haiendelei na wala hailipi. Ukija kutafta watu maarufu na wenye hela utakuta ni wa bongo fleva, je huko bongo movies shida ni nini?
The late Kanumba alijaribu kuipambania sana hiyo tasnia baadaye JB naye akaipambania lakini ni kama hailipi na hawana creativity kabisa.
Una ushauri gani au maoni gani ya namna ya kuisogeza mbele hi tasnia yetu ya bongo movies!
Kipaji kipi, nitajie movie ambayo yeye ni mhusika mkuu na kaweka pesa yake kama vile kina johari nkKwa hilo sidhani mbona uwoya alikuwa na kipaji tu?
Wana feki too much halafu wameshindwa kabisa kutofautisha maisha halisi na ya maigizoHali inazidi kutisha sana katika upande wa bongo movies, kwani hiyo tasnia haiendelei na wala hailipi. Ukija kutafta watu maarufu na wenye hela utakuta ni wa bongo fleva, je huko bongo movies shida ni nini?
The late Kanumba alijaribu kuipambania sana hiyo tasnia baadaye JB naye akaipambania lakini ni kama hailipi na hawana creativity kabisa.
Una ushauri gani au maoni gani ya namna ya kuisogeza mbele hi tasnia yetu ya bongo movies!
Hahaha[emoji23]Waganga wa bongo sio mafundi Kama waganga wa bongo fleva!. We mtu anawekewa koromeo la chura unafikiri mchezo!
Tatizo la bongo movies kwangu mimi si fedha bali linaanzia kwenye casting.Hali inazidi kutisha sana katika upande wa bongo movies, kwani hiyo tasnia haiendelei na wala hailipi. Ukija kutafta watu maarufu na wenye hela utakuta ni wa bongo fleva, je huko bongo movies shida ni nini?
The late Kanumba alijaribu kuipambania sana hiyo tasnia baadaye JB naye akaipambania lakini ni kama hailipi na hawana creativity kabisa.
Una ushauri gani au maoni gani ya namna ya kuisogeza mbele hi tasnia yetu ya bongo movies!