Ni kwanini tasnia ya bongo movies haeindelei mpaka leo ukilinganisha na bongo fleva?

Ni kwanini tasnia ya bongo movies haeindelei mpaka leo ukilinganisha na bongo fleva?

Hali inazidi kutisha sana katika upande wa bongo movies, kwani hiyo tasnia haiendelei na wala hailipi. Ukija kutafta watu maarufu na wenye hela utakuta ni wa bongo fleva, je huko bongo movies shida ni nini?

The late Kanumba alijaribu kuipambania sana hiyo tasnia baadaye JB naye akaipambania lakini ni kama hailipi na hawana creativity kabisa.

Una ushauri gani au maoni gani ya namna ya kuisogeza mbele hi tasnia yetu ya bongo movies!

Wacha mie niendelee kuimba wolololo wolololo
 
Hali inazidi kutisha sana katika upande wa bongo movies, kwani hiyo tasnia haiendelei na wala hailipi. Ukija kutafta watu maarufu na wenye hela utakuta ni wa bongo fleva, je huko bongo movies shida ni nini?

The late Kanumba alijaribu kuipambania sana hiyo tasnia baadaye JB naye akaipambania lakini ni kama hailipi na hawana creativity kabisa.

Una ushauri gani au maoni gani ya namna ya kuisogeza mbele hi tasnia yetu ya bongo movies!
Wana feki too much halafu wameshindwa kabisa kutofautisha maisha halisi na ya maigizo
 
Hali inazidi kutisha sana katika upande wa bongo movies, kwani hiyo tasnia haiendelei na wala hailipi. Ukija kutafta watu maarufu na wenye hela utakuta ni wa bongo fleva, je huko bongo movies shida ni nini?

The late Kanumba alijaribu kuipambania sana hiyo tasnia baadaye JB naye akaipambania lakini ni kama hailipi na hawana creativity kabisa.

Una ushauri gani au maoni gani ya namna ya kuisogeza mbele hi tasnia yetu ya bongo movies!
Tatizo la bongo movies kwangu mimi si fedha bali linaanzia kwenye casting.

Tasnia hii imejaa watu wasio na talent, siku hizi wanacho angalia sana uzuri, shape, matako kwa wanawake na kwa wanaume wanaangalia rangi shombeshombe, body ,six pack na upuuzi upuuzi kwa kutrend huku social networks ila talent hawatizami kabisa na si kwamba hamna talent Tz zipo ila kwa jicho lingine may be industry ya bongo movies inavyo one kana kuna rushwa haswa ya ngono na ndio maana wanajali uzuri kuliko talent.

Wadangaji na wanaishi mjini kwa umario aka msingi kiuno wamejaa kibao kwenye industry ambao hawana talent, sasa wewe inazani bongo movies itaendelea lini, kwa kuwa talent halisi hazipo basi hata ubunifu nao haupo.

Atleast Madebe ,Tinwhite, Ringo, Mkojani nk wengineo wana jitahidi, ila hizi tamthilia nyingine labda nikae niangalie misambwanda ila sizielewagi kabisa.
 
Mpaka waache kutoa connection maana ndo wanaongoza kwa kutoa connection mjini hapa.
 
Back
Top Bottom