Kila kitu ni ubaguziShule za watoto wao,masoko yao,bar zao,barabara zao,n.k
Asante sana mkuu,net ni muhimu sana kipindi hikiYule alifia nyumbani akapelekwa hapo kama ushahidi.
Naomba niishie hapo.
Ngoja nichomekee neti kwanza
Hebu nenda siku moja kawambie unataka kupima malaria ???ila utulete mrejeshoWanaweza kutibu raia pia, kama Dar group na Lugaro wanavyofanya kwa sasa....labda kama hawataki nyomi la wagonjwa.
Sound like Gentamycin konokono wa TISSSasa kama ulijua kuwa haina maana kwa Mimi au Sisi kuyajua ilikuwaje ukawashwawashwa na Mwenyewe Kutuandikia vile? Acha kuwa Juha sawa?
Hata hivyo sikukujibu ww. Nimejib comment ya mtu mwingine. So chill broHivi kwani Kuuliza Jambo ni Kosa la Jinai ndani ya Ardhi hii ya Tanzania? Kama Swali hukulipenda ungeachana nalo na si kuwa na Kiherehere hiki.
Mi nikilazwa hospitali X au hospitali Zena inakuhusu niniβοΈSasa kwanini tu kwakuwa mmeamua Kutuficha Watanzania kuhusu Kulazwa Kwao hapo Mzena Hospital basi hata Wakifa ( Wakifariki ) msiendelee pia Kutuficha kwa Kutotujajia hiyo Hospitali na badala yake muendelee tu na Ratiba zenu za Maziko nyie nyie kama nyie pamoja na Wauguzi wa Mzena Hospital na wale Walinzi Wanoko wenye Maswali ya Kukomoa pale Getini Makumbusho? Tumeivumilia hii tabia tumechoka na badilikeni!
Asante mkuu umenipa elimu nilikuwa silifahamu hili kabisa,
Acha bwanaa weee kufananisha johns hopkins.. na hiyo kitu ππHii hospital ni kubwa na ya kisasa kuliko zote Tanzania inatibu viongozi wa serikali. Hata jakaya alipodondoka kwenye kampeni za uchaguzi pale jangwani Mara mbili alikimbizwa na kuletwa pale DMMH pia ina underground basement. Kimsingi huduma za pale ni Kama za John Hopkinson.
Mbona kama unamtaja mshikaji wangu Gentamycin ?Naona lile jamaa ambalo ni dawa la malaria limevamia huu uzi. Alafu arguments zake za kitoto sana na siku zote haliwezi kujificha kwa ID tofauti. Mtu hawezi kuwa na cover hata kwenye kutype,ni Rwandese naye anatibiwa Mzena.
Itakuwa anamaanisha johns hopkins"John Hopkinson" ndiyo iko wapi hiyo?
Walter reed haina tofauti sana na hospital nyingine wanaotibiwa raia wa kawaida. Lakini huku kwetu kuna gape kubwa kati ya hospital special kwa ajili ya vigogo kama hiyo ya mzena na mwananyamala Au temeke hospitalHata marekani viongozi wao wakiumwa
Wanapelekwa hospital zao mfano walter reed etc
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Achana nae huyo, ukisoma uzuri utagundua ana msongo wa mawazo.Andika mambo yenye mantiki, siyo haya ya kiumbea. Unamwambia nani sasa unaposema "mmeamua kutuficha watanzania" kwani wao siyo watanzania? na je wakikuamabia kuwa wamelazwa hapo wewe itakusaidia nini? Je unataka wasitibiwe pale au unataka iweje? unataka waendelee kuwa wanakwenda kutibiwa nje ya nchi kama zamani?
Ndio kwanza naisikiaKwani mkuu unaumia na nini juu ya Mzena? Wakilazwa hapo wagonjwa unatesekea nini? Ulisikia pale ni ya kila mtu ndo uende ende?
Ila unashangaza sana mtanzania mwenzangu. Ulienda kwa kufata protocol inavyopaswa ama ukienda na mziki wako mkubwa masifa sifa etc?
Na aliyekuambia ninkila kiongozi anatibiwa hapo ni nani? Na mbona ni hispital ya siku nyingi sana hiyo ndo mnaijua leo ama?
Ipo MipangoItajengwa Mzena Two huko huko.
Hata mimi naona mleta mada nikama yuko kwenye promotionMnawapa kiki sana kila siku mzena mzena...
Msijitie wajuaji hiyo ni typing error John Hopkins inafahamika Hilo ni kosa la simu kupredict nini unaandika.Itakuwa anamaanisha johns hopkins
Wapanue wigo huko chini waweke senta ya utafiti wa chanjo mbalimbali ikiwezekana kutengeneza virusi kama vya corona n.kHii hospital ni kubwa na ya kisasa kuliko zote Tanzania inatibu viongozi wa serikali. Hata jakaya alipodondoka kwenye kampeni za uchaguzi pale jangwani Mara mbili alikimbizwa na kuletwa pale DMMH pia ina underground basement. Kimsingi huduma za pale ni Kama za John Hopkinson.
Anza kujishangaa kwanza..Msijitie wajuaji hiyo ni typing error John Hopkins inafahamika Hilo ni kosa la simu kupredict nini unaandika.
Nimecheka sana πππππVi
Kuingia pale makumbusho napo ni kismati?