miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Siyo kila kiongozi anaenda pale mkuu. Hapa kamba aisee. Wako wahusika wakuu na familia zaoTatizo ni kutotembea na kujichanganya na watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mjini utapitwaaa
Viongozi wakiumwa malaria etc wanapelekwa pale na mbn hyo kawaida tu ni moja ya utaratibu kwa kuwafanyia viongozi
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
TISS members and their familiesIle ni kwa ajili ya viongozi tu labda na familia zao mzee
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Naona anatulisha kamba tu[emoji23][emoji23][emoji23]TISS members and their families
Unajua kwa nini viongozi, ingawa siyo wote, wanakwenda hapo? Ile hospital ni kwaajili ya TISS, hao viongozi wanapelekwa hapo kwaajili ya security iliyopo pale.Kiongozi yyte wa nchi lazima aende hapo kwa matibabu
Na pale wana huduma zote na vifaa vyote
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Umenielewa pm natumaiNaona anatulisha kamba tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Najua kwa sababu ya ulinziUnajua kwa nini viongozi, ingawa siyo wote, wanakwenda hapo? Ile hospital ni kwaajili ya TISS, hao viongozi wanapelekwa hapo kwaajili ya security iliyopo pale.
Akili za chadema Kama wanyama vile.Kwa ajili ya wenye magonjwa ya stroke hasa wana CCM
Umeona eehh.Naona anatulisha kamba tu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umeona eehh.
Kufa wewe BASISasa kwanini tu kwakuwa mmeamua Kutuficha Watanzania kuhusu Kulazwa Kwao hapo Mzena Hospital basi hata Wakifa ( Wakifariki ) msiendelee pia Kutuficha kwa Kutotujajia hiyo Hospitali na badala yake muendelee tu na Ratiba zenu za Maziko nyie nyie kama nyie pamoja na Wauguzi wa Mzena Hospital na wale Walinzi Wanoko wenye Maswali ya Kukomoa pale Getini Makumbusho? Tumeivumilia hii tabia tumechoka na badilikeni!
Suala la kuelezea ugonjwa, hususan wa viongozi, lina utata sana.Sasa kwanini tu kwakuwa mmeamua Kutuficha Watanzania kuhusu Kulazwa Kwao hapo Mzena Hospital basi hata Wakifa ( Wakifariki ) msiendelee pia Kutuficha kwa Kutotujajia hiyo Hospitali na badala yake muendelee tu na Ratiba zenu za Maziko nyie nyie kama nyie pamoja na Wauguzi wa Mzena Hospital na wale Walinzi Wanoko wenye Maswali ya Kukomoa pale Getini Makumbusho? Tumeivumilia hii tabia tumechoka na badilikeni!
AkhsanteJaribu kutembelea mitaa ya Makumbusho
Nikweli wana cdm ni wanyama lkn wana lumumba kama ni zaidi ya vichuguuAkili za chadema Kama wanyama vile.
Kulingana na unyeti wa idara hiyo lazima wawekewe kila kitu.Kiongozi yyte wa nchi lazima aende hapo kwa matibabu
Na pale wana huduma zote na vifaa vyote
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
ViNilibahatika kuingia hiyo hospital tulienda kumuona baba wa mshkji wangu alilazwa hapo
Aise hyo hospitali si mchezo ina vifaa vyote vya kisasa
Viongozi wengi hutibiwa hapo hapo kuna madaktari wa viongozi wote
Ngoja tuishie hapa
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kuingia pale makumbusho napo ni kismati?Yah niliingia na familia yake mzee
Na syo mara moja wengine mjini hapa tuna vimsmati mzee
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app