Ni kwanini Viongozi Serikalini wakilazwa Mzena Hospital huwa tunafichwa, ila wakifa tu tunaambiwa Walilazwa hapo Mzena Hospital?

Hiyo Hosptal nadhani kuna mapungufu ya maarifa ni vyema ubakie kuitwa zahanati tu kuliko kupewa sifa za Hosptal hi hali wengi hukariki hata kwa magonjwa ambayo siyo Hatari kama alivyofariki mkapa kwa njia ya kutatanisha
 
Yes, a presidency is a public position and one who occupies is a public figure. But there is no law that requires a president to reveal her/his sickness to the public. Since it is not required by law, if one does not report well and good but if one reports it even better.
 
Karibu mtataka Viongozi wote wapande daladala kwenda kazini Akili za hovyo kabisa. Wewe unatambua heshima kubwa na hadhi za Viongozi pamoja na heshima hizo na wenyewe ni binadamu wanamadhaifu yao inamaana wanahitajika Watu wenye taaluma ya Siri nje ya taaluma ya Udaktari .Hivyo basi tegemea siku zote Viongozi kutibiwa mahali pa Hivyo .Kumbuka kuwa hapo Muhimbili au. Mwananyamala akija kiongozi akifika mpaka baadhi ya huduma huwa zinasimama kwa muda kwa sababu za kiusalama Sasa Leo unataka tulazwe naye Mwananyamala huo ni upeo finyu wa kufikiri.Yaani hata kiongozi akijisikia mafua akaenda zahanati nchi nzima itajua kuwa kiongozi anayo mafua.Hivyo taarifa za matibabu kwa Viongozi kuwa siri kwa Viongozi ni muhimu Sana kuondoa taharuki na hofu kwa wafuasi wao itatolewa tu pale itakapokuwa lazima. Pia nakukumbusha kuwa siyo kila sehemu za Siri ni bora Sana bali Kinachofuatwa ni Usiri tu.
 
Tajiri hupenya popote kwa kutumia pesa zake hata huko akitaka kufika anapenyeza rupia wanafanya atakavyo,β€˜mwenye pesa hashindwi kwa lolote
 
Kama wanapokea bima zetu hizi basi ni ya wote
Bima siyo mali ya serekali kusema bima zetu. Bima ni mali ya wachangiaji. Serekali inaisimania tu.
 
Hiyo Hosptal nadhani kuna mapungufu ya maarifa ni vyema ubakie kuitwa zahanati tu kuliko kupewa sifa za Hosptal hi hali wengi hukariki hata kwa magonjwa ambayo siyo Hatari kama alivyofariki mkapa kwa njia ya kutatanisha
Wewe! Kwa hiyo unataka niambia Mzena haina hadhi ya Hospitali bali kituo cha afya na majengo yote yale
 
The Social Contract of leadership is not limited to law. It extends to matters of leadership ethics.

For example, the president, as the last custodian of the land, has the last say in distributing vast tracts of land to whomever he desires. The law gives him that authority.

But, does that mean it is OK for him to give all the national parks to his uncle? Even if legally he is allowed to do so?

Just because there is no law against that, does that mean he should do that?
 
Embu taja idadi ya visiki waliotibiwa hapo ili tuone kama tumefichwa!
 
Kama makao makuu ya mehamia Chamwino, naona watakua mbioni kujenga tawi la Mzena Dom, naomba hii waiite Mapank. Mfugale sasa ana mbili. πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…