Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,647
Tofauti na ladies wengi walio below 29 lakini ladies wengi ktk mahusiano akishafikisha age of 30 anataka akupeleke kwao akakutambulishe au ndoa tena mwingine ana force hatari bila hivyo hamuezi hata kuelewana.
Mimi ni mmoja kati ya watu ambao bi.mdada ananiforce niende kwao akanitambulishe.
Mimi ni mmoja kati ya watu ambao bi.mdada ananiforce niende kwao akanitambulishe.