Ni kwanini wadada wengi at 30's age wanaforce sana ndoa au ukajitambulishe kwao?

Ni kwanini wadada wengi at 30's age wanaforce sana ndoa au ukajitambulishe kwao?

Uko mboka ipi?
WAPE HAI HAPO MATANKINI KILOLENI.....!

hiyo manzi kama ume mwelewa oa, ila kama huja muelewa achana nae.

MIM MWENYEWE NILISHA WAHI KUDAKA DENT WA UHAZILI HAPO, MDOGO KIUMBO, KUJA KUANGALIA YA BIMA ANA 32.YRS NIKALA KONA KALI.

Now alisha zalishwa na dogo mmoja mjeda, WANAISHI UZUNGUNI hapo jirani na Tumbaku, kama bado hawa ja hamaa!

MM NOW NIKO NA MWINGINE MIKOA YA WATU HUKU.....
Hahahaaaa nipo isevyaa
 
Tofauti na ladies wengi walio below 29 lakini ladies wengi ktk mahusiano akishafikisha age of 30 anataka akupeleke kwao akakutambulishe au ndoa tena mwingine ana force hatari bila hivyo hamuezi hata kuelewana

Mimi ni mmoja kati ya watu ambao bi.mdada ananiforce niende kwao akanitambulishe
usisahau kuleta mrejesho
 
Wanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?

Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!

Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!
sentensi mbili za mwisho umemaliza kila kitu
 
Ahahaaaaa kawaida mzeee si unajua aki delay zaidi ya hapo menopause iyooooooo
 
Huwa wanakimbizana na Expire date, maana wakigonga miaka 40 ndio ujue wameshaexpire hivyo. Ni kama dakika za majeruhi kwenye mpira halafu timu iko nyuma kwa magoli, hakuna kupoteza muda tena.
 
Huwa wanakimbizana na Expire date, maana wakigonga miaka 40 ndio ujue wameshaexpire hivyo. Ni kama dakika za majeruhi kwenye mpira halafu timu iko nyuma kwa magoli, hakuna kupoteza muda tena.
Kwa taarifa yako hata mwanaume ana expiry date from 35 kwenda juu mbegu zinapungua na zinaanza kudumaa hazina capability ya kuogelea haraka kama ulivyokuwa kwenye 20's hazipo efficient na effective kumaanisha uwezo wa kumimbisha hupungua au unampa mtu mimba zinaharibika!Ndio maana unaona ni trend unakuta mwanamke yupo 35+ anazalishwa na kjana wa 25 kwasababu warika lake mambo yanaweza yaende bila bila!Au mwanaume umri ulosogea awe na mwanamke younger,ile younger part inakuwa kama catalyst!
 
Funga ndoa mkuu maisha yaendelee kama huna mpango naye mwambie ukweli usimpotezee muda wake.
 
Kwa taarifa yako hata mwanaume ana expiry date from 35 kwenda juu mbegu zinapungua na zinaanza kudumaa hazina capability ya kuogelea haraka kama ulivyokuwa kwenye 20's hazipo efficient na effective kumaanisha uwezo wa kumimbisha hupungua au unampa mtu mimba zinaharibika!Ndio maana unaona ni trend unakuta mwanamke yupo 35+ anazalishwa na kjana wa 25 kwasababu warika lake mambo yanaweza yaende bila bila!Au mwanaume umri ulosogea awe na mwanamke younger,ile younger part inakuwa kama catalyst!
HA![emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Kwa taarifa yako hata mwanaume ana expiry date from 35 kwenda juu mbegu zinapungua na zinaanza kudumaa hazina capability ya kuogelea haraka kama ulivyokuwa kwenye 20's hazipo efficient na effective kumaanisha uwezo wa kumimbisha hupungua au unampa mtu mimba zinaharibika!Ndio maana unaona ni trend unakuta mwanamke yupo 35+ anazalishwa na kjana wa 25 kwasababu warika lake mambo yanaweza yaende bila bila!Au mwanaume umri ulosogea awe na mwanamke younger,ile younger part inakuwa kama catalyst!
Unajifariji sio dume hata ufikishe 60unakuwa bado upo mwake
 
Wanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?

Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!

Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!
Vip ww tayar umeshaolewa
 
Back
Top Bottom