[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maswali ya msingi sana hayaWewe umemwambia unataka kumwoa? Kama ndio kwann huendi kujitambulisha? Kama siyo yeye katoa wapi hayo mawazo ya ndoa?
Mkuu share experience walikufanyaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanawake wajinga na wapumbavu sana
🤣🤣🤣🤣Mkuu share experience walikufanyaje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aisee!Wanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?
Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!
Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!
?Aisee!
Welcome back, sijakuona siku nyingi madam!
I was never gone!Au kwasababu sipo active kama wewe?Thnx anyway!Welcome back, sijakuona siku nyingi madam
at 30 jua linazama. haswa kama hana mtoto kabisa anaona kama unampotezea muda. thats why wana force sanaTofauti na ladies wengi walio below 29 lakini ladies wengi ktk mahusiano akishafikisha age of 30 anataka akupeleke kwao akakutambulishe au ndoa tena mwingine ana force hatari bila hivyo hamuezi hata kuelewana
Mimi ni mmoja kati ya watu ambao bi.mdada ananiforce niende kwao akanitambulishe
Hapo mtoe mama yangu na mke WANGU...wanawake wajinga na wapumbavu sana
Uko sahihi. Cutting edge ya mwanamke kushika mimba bila mbinde na kujifungua salama bila makompulikesheni mengi ni 35. Akishavuka hapo ni pata potea. Miaka 30+ kwa mwanamke ni muda umesonga sana hasa ukizingatia kuwa mabinti warembo wabichi wengi tu wanaingia mtaani kila mwaka. It is time to panick ila ukibahatisha ambaye ameamua kutulia katika umri huu ndiyo hasa wanakuwa wife material kwa sababu ujinga wote alishafanya na maisha anakuwa anayajua sawasawa. Labda uwe unatafuta bikra kama Jokajeusi. Hapo inabidi urudi huko kwenye 18 - 22 [emoji2211][emoji2211][emoji2211][emoji2211]Wanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?
Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!
Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!
Na wa kwangu pia awaondoe katika jumuisho lake [emoji16][emoji16]Hapo mtoe mama yangu na mke WANGU...
ungekua na akili ungekua rais wa nchi hii, but guess what its the opposite, tulia kimya tukuongozewanawake wajinga na wapumbavu sana