Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Wanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?
Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!
Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!
Kama umemchunguza na unaona anakufaa na tabia zake ni stahimilivu na unaona future nae OA mkuu.. mwisho wa siku hakuna mtu amabyae ni perfect 100%. Kikubwa kama ni yeye ndio anakupenda zaidi hutapata tabu kwenye mahusiano yakoKuna mmoja anafosi nimuoe na ananitishia kwamba machozi anayoyatoa hayaniacha salama as if Mungu ni mali yake peke yake.
Hafai kwa kila kitu.Nmekaa nae kwa miez mitatu tu naona kama miaka mitatu.Kama umemchunguza na unaona anakufaa na tabia zake ni stahimilivu na unaona future nae OA mkuu.. mwisho wa siku hakuna mtu amabyae ni perfect 100%. Kikubwa kama ni yeye ndio anakupenda zaidi hutapata tabu kwenye mahusiano yako
Umefanya vyema kuchunguza kuona kama mtaweza kuishi pamoja ua lah..Hafai kwa kila kitu.Nmekaa nae kwa miez mitatu tu naona kama miaka mitatu.
Na ww unaolewa?π€£π€£π€£Yaani utamu tupate wote halafu mmoja ndio apotezewe muda hiyo sio haki kabisa [emoji28]
Unajifariji sio? Endelea kupata faraja.Kwa taarifa yako hata mwanaume ana expiry date from 35 kwenda juu mbegu zinapungua na zinaanza kudumaa hazina capability ya kuogelea haraka kama ulivyokuwa kwenye 20's hazipo efficient na effective kumaanisha uwezo wa kumimbisha hupungua au unampa mtu mimba zinaharibika!Ndio maana unaona ni trend unakuta mwanamke yupo 35+ anazalishwa na kjana wa 25 kwasababu warika lake mambo yanaweza yaende bila bila!Au mwanaume umri ulosogea awe na mwanamke younger,ile younger part inakuwa kama catalyst!
Hata afikishe 100.Unajifariji sio dume hata ufikishe 60unakuwa bado upo mwake
Kasome hapo kama akili zako kweli nzuri na utaelewa!Nikishajifariji ntanufaika na nini hasa katika akili yako?Unajifariji sio? Endelea kupata faraja
Wanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?
Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!
Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!
Dada unapambana sana kutupinga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa taarifa yako hata mwanaume ana expiry date from 35 kwenda juu mbegu zinapungua na zinaanza kudumaa hazina capability ya kuogelea haraka kama ulivyokuwa kwenye 20's hazipo efficient na effective kumaanisha uwezo wa kumimbisha hupungua au unampa mtu mimba zinaharibika!Ndio maana unaona ni trend unakuta mwanamke yupo 35+ anazalishwa na kjana wa 25 kwasababu warika lake mambo yanaweza yaende bila bila!Au mwanaume umri ulosogea awe na mwanamke younger,ile younger part inakuwa kama catalyst!
Tatizo mmeshazoea kila kitu hewalaaa hata kama hampo sawa π π π mkielekezwa tu kidogo kelele nyingi!!Dada unapambana sana kutupinga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huruma kabla ya NDOAWanawake tuna huruma sana
Alikuwa wap tokea 20-29? Ajiandae kuwa single maza maana ndo new fashionWanawake wa umri huo wanajitambua na wamepitia maisha.Sasa kama upo na mwanamke wa miaka 30 na anajua anachotaka kwanini umpotezee muda wake?
Lazima pia utambue biological clock ya mwanamke ni mfupi akishafika miaka 30 chances za kubeba ujauzito zinapungua na umri unavyozidi kwenda risks zinaongezeka!
Nasisitiza kama mwanamke huna malengo nae usimpotezee muda wake!
We unafikiri alikuwa wapi? jua kama sio watu wote wanaweka ndoa priority katika umri huo wengine wanajijenga,wanajielimisha wana miradi yao ya kujenga maisha na pia wanatafuta mtu sahihi kwani kila mwanaume wa kuolewa nae?Alikuwa wap tokea 20-29? Ajiandae kuwa single maza maana ndo new fashion
Kuna alinicheet baadae anasema anatupenda wote.wanawake wajinga na wapumbavu sana