Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Umeyataka mwenyewe. Pambana nao sasa. Na usikimbie huu uzi.Mnakuja kwa kasi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeyataka mwenyewe. Pambana nao sasa. Na usikimbie huu uzi.Mnakuja kwa kasi kweli kweli
Nguo zao zote nizile zenye marinda, Mala nyingi ni suruali za fundi cherehani wa kibongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawanunui suruali Dukani, wananunua kitambaa wanapeleka tailoringSababu moja ni kwakuwa kipato chao ni kidogo cha mshahara...
Pia hawajipendi, mavazi yao yapoyapo...
Ila wanamchango mkubwa sana ktk kuendeleza elimu za watoto wetu...
Wewe una Skills za ualimu ?Ukienda Dukani daftari la madeni ni walimu, halafu wana madeni kila benki hawana skills tofauti na ajira ya ualimu
Wanazurumiwa sana vitambaa hawa jamaaNguo zao zote nizile zenye marinda, Mala nyingi ni suruali za fundi cherehani wa kibongo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawanunui suruali Dukani, wananunua kitambaa wanapeleka tailoring
Sijuhi kwa nani walimu hawajijali kwakweli, mtu ana kazi, mshahara n.k ila anavyokaa kaa sasa ndo maana wanadharauliwaSababu moja ni kwakuwa kipato chao ni kidogo cha mshahara...
Pia hawajipendi, mavazi yao yapoyapo...
Ila wanamchango mkubwa sana ktk kuendeleza elimu za watoto wetu...
Utakuwa unachuki sana na walimu siyo kwa kuwaponda hivi watu waliokufunza kusoma,kuandika na kuhesabukuzaraulika ndiyo nini? etio nawe uko JF unaandika! Rubbish
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hawa watu ni special groupKwa sasa walimu wameanzisha mradi mpya wa kukawiti na kubaka watoto plus kuwalambisha koni
Shida wanaenda waliofeli, ni moja ya watu wengi mitaani, ukitangaza tu ajira wanafika laki mbili dakika sifuri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sijuhi kwa nani walimu hawajijali kwakweli, mtu ana kazi, mshahara n.k ila anavyokaa kaa sasa ndo maana wanadharauliwa
Sio sababu ukweli usemwe ili wajitathminUtakuwa unachuki sana na walimu siyo kwa kuwaponda hivi watu waliokufunza kusoma,kuandika na kuhesabu
Mawakili wanakasoro gn, wanapiga suti mwanzo mwishoKila kada ina madhaifu yake, tuheshimu walimu ndio wanawatoa ujinga watoto wetu
Kuna mwalimu kaja kukulalamikia ananyanyapaliwa?Badilikeni ili jamii isiwanyanyapae
Wanajipenda kuliko walimu, msimamishe mtendaji kata na mwalimu tuone yupi jamii inamchukulia mtu aliyepoteza tumaini la maishaThough mi sio mwl ila mwandishi una chuki binafsi kama sio mtindio wa ubongo kwa taarifa yako wafanyakazi walio chini ya halmashauri mishhara yao inafanana nashangaa una point walimu pekee ...
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Chunguza mkuu utakuja kunipa kongoreNimecheka[emoji16][emoji16][emoji16] time ain't a bit*h