Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Eti kukiona cha mtema kuni[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787] hahaha serious!!?Mimi nimewashauri, wakiona ushauri hauwafai Sawa ila wacha waendelee kukiona cha mtema kuni ili wa jifunze. Watakuja nikumbuka
Baby mbona umenitusi? Navyokupenda sasaMatako Yako[emoji1787]
Nilikua sijui Kama na ww ni mwalimu.Moderator, muokoeni huyu kijana kwa kuufunga tu huu uzi. Maana amechokoza mzinga wa nyuki (Walimu)! Sasa wanamshambulia kutoka kila upande. Tena kwa hoja zilizoshiba kweli kweli, huku yeye akibakia tu kubwabwaja!
Hana mtu wa kumtia moyo! Hakika amebakia peke yake! Na kwa haraka haraka, naona pumzi yake inaelekea kukata. Msaidieni tafadhali.
Yes, naona umehama sasa baada ya kuelewa. Umetoka kushambulia taaluma na watu wake, umerudi kwenye kuongeza kipato jambo ambalo kwa sasa, kila mtu wa kada fulani anafanya. Ni kitu cha kawaida.Sasa nyie mnasubiri mpaka tar 30 mjazane kwenye ATM
Am glad, Sir.This is a smart teacher.
Wala usipate shida, wao wenyewe wakia peke yao wanakubali walienda kwenye ualiu kwa kuwa walifeli form four au form sixMimi nimeweka kila kitu wazi lakini wananijia juu ila nashukuru waelewa kama nyinyi mpo kunisaidia, yani walimu ni wasumbufu every angle, ukienda benki, ukienda kwenye majukwaa ya ajira, ukienda kwenye kuomba kazi za mda mfupi kama sensa, ukienda mavyuoni Chunguza wanaosomea ualimu. Lakini wanalakujifunza kupitia huu uzi.
Hahahahaha hii ndio akili inayomponda mwalimu !?Mada zako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tunakufungulia mashitaka ya kuvunja ndoa za watu,Sheria ya 1979 kifungu cha 14View attachment 2272444
Dogo wewe kichwani hamna kitu ama hio akili unayodhani bado unayo kumbe imeshakuacha imeondoka zake umebaki mwenyewe na mawazo yako mgando.Toa fact, elimu haijanikomboa kivipi, Kuna utofauti mkubwa uliopo Kati ya elimu na akili. Ni bora nikose elimu ila akili ninayo. Muone kabudi ni professor wa sheria lakini akili zake ni kama mtoto wa darasa la saba.
Hahahahh hii vita ni kama kichapo anachpata ukraine toka kwa russia[emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na wakati anasubiria ajira za sensaView attachment 2272480
Swali fikirishiTukana walimu bila kuonesha kwamba unetukana walimu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa lina wivu ka mtoto wa kike naungana na wanajamvi kuwa unatatizo la akili sio bure aisee.Weka ushahidi wa Chet hatuwezi kuamini maneno matupu
Kazi aipate wapi labda akashikwe traako na qahindi kule kiwalan kwa dada yakeWew mwenyew hujitambui ujasiri unautoa wapi wa kutaka walimu wajitambue shida ya kuwa jobless kuanza kuchunguza maisha ya wtu maana umeandika maelezo Hadi ynachosha huo mda uliokuwa unatumia kuchunguza upuuzi ungekuwa unakazi za kufanya usingeupata
Kumbe ndio mana. [emoji3][emoji3]Walimu ni watu wa ajabu sana. Hawajielewi
Acha uongo dogo umesoma diploma ya ualimu na una GPA 3.6[emoji1787][emoji1787]Political science and public administration
Huyu fala ndo wakumla nd..og..o mwanae ili akili imkaae sawa shwainKwaiyo unatka tukushauri tuache kufundisha tukauze mitumba manzese jifunze kuheshimu kazi za watu alafu unajishushia heshima Sana sijui unaona ufahari gani kila nyuzi zako kuitwa kilaza huna akili jifunze kujiheshimu jifunze kuangalia kipi unandike kipi uache unajishushia heshima Sana sema ndo tushakuwa walimu haibadilishi kitu na tutafundisha na kuuza mitumba hatuuz hta tulipwe elf 50 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]