Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Kuwadharau walimu ni ujinga coz hata humu tunaandika coz ni hao hao Walimu ndio waliotufundisha,

Ukimuona Mwalimu yeyote ana shida na una uwezo wa kumsaidia ni vizuri zaidi ukamsaidia kuliko kuanza kumsema au kumdharau.
ni kweli

asa hivi walimu wanalamba sukari wanampunga mrefu hatarii
 
Nimekwambia nilikuwa nawasaidia wadogo zangu kuapply ivi huelewi mkuuu??
Kwa kifupi wewe ni zaidi ya kichaa, ila laana na nuksi unayoitafuta utakuja hapa kuomba radhi kwa huu utoto wako.
Hakuna mtu smart duniani kote akashinda kubishana kutwa nzima wakat ushahidi upo kuwa wewe bado hujui kitu kwa jinsi tu ulivyokuwa ukihangaika kuulizia mambo.
Ukiwa muongo basi jitahidi kuwa na kumbukumbu, subiri maisha yakupige kwanza utakuja kutia adabu
 
Anayedharau walimu, alikuwa anahangaika sana kuomba kazi hiyo anayodharau.

Sijui huwa mnafaidika nini yaani, nawaza nakosa jibuView attachment 2273387View attachment 2273389View attachment 2273390View attachment 2273391View attachment 2273392
Asichokijua kuna mpaka namba ya simu iliyotumika baina yake na mtu mwingine, Sasa anataka tufanye jambo tule ban ila mtakaobaki mtamjua huyo mlemavu wa akili. Bahat yake sheria haziruhusu ila leo angejutia hii mada yake.
 
Labda watu wachache kama wewe,ilahawa wanakazi kweli kweli karibia sawa na manesi,mtoto anaenda shule akilamba Kamasi,mara kapuuu,mara hajui kuoga ,kuvaa na hatakuongea.Halafu umdharau teacher,utapata laana wewe 🏋️
 
Labda watu wachache kama wewe,ilihawa wanakazi kweli kweli karibia sawa na manesi,moto anaenda shule akilamba Kasi,mara kapuuu,mara hajui kuoga ,kuvaa na hatakuongea.Halafu umdhatau teacher,utapata laana wewe [emoji2484]
Kajifunze kuandika kwanza, sijui umeandika lugha gani
 
Mkuu mpwayungu village labda nikwambie vitu viwili ambavyo vitakusaidia kama mwanaume

1-Acha shobo kwa mambo yasiyokuhusu.Kama hii issue ya walimu umeona inakukera unaweza kufanya jambo katika kuleta mabadiliko

2-Acha utoto na tabia za kishamba.Labda Kama hujui jaribu kupitia threads zote unazoandika humu jukwaani pamoja na comments zitolewazo kukulenga utagundua ni kwa namna gani watu wanakuchukulia hapa JF japo una uhuru wa kuwasilisha chochote hapa ila angalia sana namna unavyojenga hoja ili kujilindia heshima yako kama member wa JF

NB:Mimi sio mwalimu ila ni mtazamo wangu juu ya hoja zako tuu
 
Asichokijua kuna mpaka namba ya simu iliyotumika baina yake na mtu mwingine, Sasa anataka tufanye jambo tule ban ila mtakaobaki mtamjua huyo mlemavu wa akili. Bahat yake sheria haziruhusu ila leo angejutia hii mada yake.
Mkuu HesabuKali fanya majamboz dogo ajutie ujinga aliobandika humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…