Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Ni kwanini walimu wanadharaulika sana mitaani?

Nilidhani neno kuFELI ni kupata 0' kumbe bado sijui.
Kufeli ni kukosa vigezo flani, ukiwa huna vigezo vyakwenda kusoma udaktari tu nasema umefeli kwenye cutting point ya udaktari, ukiwa huna vigezo vya kwenda kusoma sheria let say umesoma HKL Lakini history una F tunasema umefeli kukidhi vigezo vya kwenda kusoma sheria maana history una F, English una E halafu kiswahili una A kwahiyo japo una three naumepata Chet lakini haikupi credit ya kwenda kusoma sheria. Sasa yote hayo ukiona umefeli ndounaenda kusoma ualimu tu.
 
Hili sio uongo lipo wazi kabisa moja ya watumishi wa serikali wanaodharaulika kwenye jamii ni hili kundi la walimu. Hata muonekano wao umekuwa ni too primitive huku wakijidifence eti ni dressing code ya mwalimu lakini nguo zao huwa ni zilezile Shati kubwa ndefu na suruali iliyopwalaruka. Hata wakiwa wanatembea wamejawa na msongo wa mawazo wananuka madeni kila kona utakuta wanadaiwa kila duka mala kakopa dagaa, kakopa sukari, kakopa Unga, kakopa Mchele, mafuta na kila aina ya takataka dhamana yake ni kazi aliyonayo kwahiyo mda wote anaangalia tarehe ya mshahara ikifika tu ndowanakuwa wa kwanza kujazana benki yani siku hiyo panakuwa hapatoshi ni kero tupu, siku za mshahara almost zipo sawa kwa kila mtumishi wa umma ila walimu ikifika net day of salary yupo benki nadhani ni kutokana na madeni aliyonayo pamoja na ukata wa nyumbani maana hawa watu wanalisha Familia kubwa, ya kwake na ndugu zake.

Hii tabia imekuwa ikinifanya nakwazika nakuwaonea huruma pia. Fedheha nyingine nikuwa walimu wengi wanaenda wenye hakili ndogo au waliofeli hili hata Samia alilisema zanzibar, hali hii imekuwa ikipelekea ongezeko kubwa la walimu mitaani wasionaajira bahati mbaya hawana skills zakujiajiri kutokana na low IQ waliyonayo kwahiyo matazamio yao ni kusaka huruma za watawala ili wawaajiri.

Mifano iko wazi, hizi ajira za juzi zilizotangazwa na tamisemi za afya na walimu, idadi kubwa ya walioomba ni walimu, waliomba zaidi ya laki moja wakigombania nafasi elfu tisa lakini afya hawakuzidi elfu thelasini kwa nafasi elfu saba. Hapo unaweza ukaona urahisi una gharama zake, ualimu ni ajira za watu wenye level ndogo ya uelewa darasani lakini udaktari sio program ya kitoto hiyo wanaoenda ni PCB smart hakuna matapitapi ya HKL wala wenye four za form six.

Njaa za walimu zimezidi mipaka. Kwanza hawana subira, angalia tu hizi ajira walizotoa tamisemi, walimu wanasumbua hadi aibu naona mimi, ukiingia kwenye mitandao ya kijamii wanatia huruma hadi kinyaa. Utasikia toeni pdf, mda wote utasikia toeni majina hawajui wizara Ina kazi nyingi za kufanya halafu majina yakitoka siku hiyo hiyo kero inaanza wa naanza kuuliza ajira za walimu mnatoa lini.

Mimi nadhani hii sekta ya walimu kama wizara mnaidekeza sana ndio mana mnawageuza kama cheap labor kwenye kazi za kitaifa kama sensa na uchaguzi mkuu maana mnajua wanalipika kwa pesa ya mrenda. Mbona hamuwachukui madaktari na watu wa TRA au TPDC tuone kama watakubali viajira vya sensa. Sasa mtazamo wangu walimu waanze kwenda wenye ufaulu mzuri kama kada zingine, hii itasaidia kupunguza idadi kubwa ya walimu wenye njaa njaa wanalia saaana,

Walimu waanze kupigwa interview kama kada zingine za utumishi ili kubaini vilaza na smart. Hii hali itapunguza mlundikano wa hawa watu kwenye competition za ajira. Wapigwe oral na written interview ili akili ziwakae sawa. Mbona tuliosoma kada zingine tunakaa mitaani miaka zaidi ya minne nahatusikii ajira zimetangazwa na hata zikitoka hatuanzi kero za kudai majina kwa haraka kama tunakimbizwa. Walimu hawana uvumilivu.

Sina Nia mbaya ila haya mawazo niliyotoa kama yatafanyiwa kazi basi walimu wataanza kuheshimika kama wafanyakazi wengine wa serikalini. View attachment 2271988
Kama sijasahau katika kitabu A man of the People kuna sehemu ilikuwa inamuelezea aina ya ndege wamemuita "Chichidodo" kwasababu ya tabia yake ya kukichukia kinyesi chake then baada ya muda kupita anakula wadudu wanaotokana na kile kinyesi chake,,, kwahio anasurvive kutokana na chakula anachokipata kwenye kinyesi chake anachokichukia sana...

Sasa wewe ni sawa na Chichidodo ikiwezekana badili ID kabisa maana mawazo yako hata under18 huwezi mkuta anawaza hivi... Either ulikosa malezi ya shuleni ukapata ya nyumbani ama na nyumbani ulikosa pia,,, Kwa thread yako hii ni dhahiri wewe ni wa kwanza kwenye class la vilaza!
 
Nakuunga mkono mleta mada hata wakati tupo vyuo BAED ndio walikuwa wasumbufu hatari
Mimi nimeweka kila kitu wazi lakini wananijia juu ila nashukuru waelewa kama nyinyi mpo kunisaidia, yani walimu ni wasumbufu every angle, ukienda benki, ukienda kwenye majukwaa ya ajira, ukienda kwenye kuomba kazi za mda mfupi kama sensa, ukienda mavyuoni Chunguza wanaosomea ualimu. Lakini wanalakujifunza kupitia huu uzi.
 
Kama sijasahau katika kitabu A man of the People kuna sehemu ilikuwa inamuelezea aina ya ndege wamemuita "Chichidodo" kwasababu ya tabia yake ya kukichukia kinyesi chake then baada ya muda kupita anakula wadudu wanaotokana na kile kinyesi chake,,, kwahio anasurvive kutokana na chakula anachokipata kwenye kinyesi chake anachokichukia sana...

Sasa wewe ni sawa na Chichidodo ikiwezekana badili ID kabisa maana mawazo yako hata under18 huwezi mkuta anawaza hivi... Either ulikosa malezi ya shuleni ukapata ya nyumbani ama na nyumbani ulikosa pia,,, Kwa thread yako hii ni dhahiri wewe ni wa kwanza kwenye class la vilaza!
Hili liGOGO la Mpwayungu ndanindani hukoooo ni lipumbavu sana
 
Hakuna wafanyakazi wa Serikali ambao kichwani ni weupe kama waalimu ni haki yao kudharauli.

1. Imagine ...Mtu aliyemaliza sekondari ya kata kafanyiwa mchakato tu huko na ndugu na jamaa kwa sababu kaonekana kichwani hamna kitu ...Kapelekwa Kondoa Teachers college Ili aje akufundishie mtoto wako awe Pilot! Hivi mnanielewa?


2. Nimebahatika kuwa na Shemeji Mwalimu
Alikuwa anakuja na maswali aliyoulizwa na watoto shuleni kuja nimpe majibu Ili awapelekee kesho yake ....aliyaweka pending [emoji3] Huwa anawaambia watoto kwa sababu ya muda tutaendelea kesho fanyeni hiyo kazi hapo ubaoni kwanza[emoji23]

Mtoto alimuuliza Mwalimu kwa Nini Tanzania na Rwanda zinapishana lisaa limoja dakika zile zile
Mtoto alisikia kwende Taarifa ya habari ya saa saba mchana DW ya ujerumani
Shemeji anasema siku Ile watoto wengi walisubiria hilo jibu sana
Anakuambia hakuna siku ilikuwa ngumu kama Ile

3. Kazi ya Ualimu ni laana ..Ukiona mtu anajivunia mkopo wa Serikali ambao anakatwa kwenye mshahara wake na kumfanya aishi maisha magumu na wengine tunaona hadi wanajiuza miili yao elewa kuna tatizo mahali flani

SWALI LANGU NAJIULIZA KILA SIKU

Hivi Serikali inanufaika Nini
Watu wasio na sifa ndio wategemewe kuzalisha Viongozi wa nchi?
Okay Iko hivi angalia Hali ya ufahamu wa mwalimu then kesho kutwa usikie kazalisha waziri wa Nishati unategemea nini? asanteni.
Watoto mnaosubiria ajira mna maneno ya shombo sana! Ona sasa!! Kupitia haya maelezo yako, ni wazi kabisa utakuwa unaishi kwa kaka/dada yako! Huku ukila na kulala bure. Na baada ya chakula, lazima useme "Shemeji asante kwa chakula"

Ukipewa hela ya bando na huyo shemeji yako mwalimu, badala ya kumsifia kwa upendo wake wa kukulisha wewe jitu zima! Eti unakuja tena kumponda humu jukwaani!

Mimi ndiyo maana sikai na litoto livivu la mtu nyumbani kwangu. Ukikaa kwangu hata huo muda wa kuchat humu jukwaani, hutaupata kudadek zako.

Maana nitakutumikisha kama punda, mpaka akili ikukae sawa. Hakuna chakula cha bure mezani.
 
Umenikera sana maana nimefunzwa na WALIMU [emoji34][emoji34][emoji34][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji2959][emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Sio shida, kufunzwa na walimu haitufanyi tusiwarekebisha, ukosoaji ni njia salama salama yakumrekebisha mtu.
 
Watoto mnaosubiria ajira mna maneno ya shombo sana! Ona sasa!! Kupitia haya maelezo yako, ni wazi kabisa utakuwa unaishi kwa kaka/dada yako! Unakula na kulala bure.

Ukipewa hela ya bando na huyo shemeji yako mwalimu, badala ya kumsifia kwa upendo wake wa kukulisha wewe jitu zima! Eti unakuja tena kumponda humu jukwaani!

Mimi ndiyo maana sikai na litoto livivu la mtu nyumbani kwangu. Ukikaa kwangu hata hui muda wa kuchat himu jukwaani, hitaupata kudadek zako.

Maana nitakutumikisha kama punda, mpaka akili ikukae sawa. Hakuna chakula cha bure mezani.
Unakumbuka alienda Kilwa masoko kutafuta kazi ya KUFUNDISHA?

Kidagaa akamnyoosha,
"Imeisha hiyooooo........ .."
 
Watoto mnaosubiria ajira mna maneno ya shombo sana! Ona sasa!! Kupitia haya maelezo yako, ni wazi kabisa utakuwa unaishi kwa kaka/dada yako! Huku ukila na kulala bure. Na baada ya chakula, lazima useme "Shemeji asante kwa chakula"

Ukipewa hela ya bando na huyo shemeji yako mwalimu, badala ya kumsifia kwa upendo wake wa kukulisha wewe jitu zima! Eti unakuja tena kumponda humu jukwaani!

Mimi ndiyo maana sikai na litoto livivu la mtu nyumbani kwangu. Ukikaa kwangu hata huo muda wa kuchat humu jukwaani, hutaupata kudadek zako.

Maana nitakutumikisha kama punda, mpaka akili ikukae sawa. Hakuna chakula cha bure mezani.
Huyo kilaza nae ni CHICHIDODO tu kama mwenzake mleta thread na wengine wanaowafata.... Huwezi kuishi kwa DADA ukawa na akili timamu[emoji3]
 
Huyo kilaza nae ni CHICHIDODO tu kama mwenzake mleta thread na wengine wanaowafata.... Huwezi kuishi kwa DADA ukawa na akili timamu[emoji3]
Huwezi jua labda alienda kusalimia, mtabaki hivyo hivyo kudharaulika
 
Kufeli ni kukosa vigezo flani, ukiwa huna vigezo vyakwenda kusoma udaktari tu nasema umefeli kwenye cutting point ya udaktari, ukiwa huna vigezo vya kwenda kusoma sheria let say umesoma HKL Lakini history una F tunasema umefeli kukidhi vigezo vya kwenda kusoma sheria maana history una F, English una E halafu kiswahili una A kwahiyo japo una three naumepata Chet lakini haikupi credit ya kwenda kusoma sheria. Sasa yote hayo ukiona umefeli ndounaenda kusoma ualimu tu.
Unasema Kufeli ni kukosa vigezo fulani, Wakati huo unasema Ukifeli unaenda kusomea Ualimu, aisee!! Kivipi yani?

Ukiwa na Cut-off points za kusomea Ualimu, unakuwa umefeli, lakini ukiwa na za kusomea Udaktari unakuwa umefaulu.

[emoji3][emoji3] Lakini si unasoma unachoandika brother? Ama unfanyaje fanyaje? Nieleweshe kwanza.
 
Back
Top Bottom