Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,894
Israel ilianza ujasusi toka miaka 4000 kabla ya Yesu[KK] hivi, pale Musa alipomtuma Caleb na wenzie kuipeleleza Canaan [ Hesabu 13 ; 1]. Leo [ 2021] MOSSAD wana miaka 6000 hivi ya uzoefu, na damu yao ina vinasaba vizuri sana kwenye upelelezi. Hao FBI, Scotland Yard, KBF, na wengine, wanaheshimu na kufuata hatua zao ili wawe bora zaidi.
Yoshua aliwatuma watu wawili kwenda kuupeleleza mji wa Yeriko, wakafikia kwa Rahabu yule kahaba (soma kitabu cha Yoshua 2:1-24). Musa alituma watu kwenda kuipeleleza nchi ya Kanaani na alichagua katika kila kabila mtu mmoja. Kumbuka kuna makabila 12 ya wana wa Israel ambayo yapo hata hivi leo(soma kitabu cha Hesabu 13:1-33). Ila inasadikika watu wa kabila la Asheri ndo wengi wako katika taaluma ya upelelezi huko kwao. Na wanawake nasikia wako njema mno katika sekta hii, wamejaa huko Mossad na CIA.
Israel ndo mwanzilishi wa taaluma ya upelelezi duniani. Ndio maana yuko njema mno kwenye eneo hili