Comrade DD
Senior Member
- Apr 27, 2020
- 179
- 320
pakistan hii ninayoijua mimi.Marekani waliingiza chopper kwenda kumpiga Osama bila wao kujua.acha utani nduguMabingwa wa hiyo sekta, utake ustake ni Pakistan. Wengine watakaa Sana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pakistan hii ninayoijua mimi.Marekani waliingiza chopper kwenda kumpiga Osama bila wao kujua.acha utani nduguMabingwa wa hiyo sekta, utake ustake ni Pakistan. Wengine watakaa Sana..
Hata Mimi nimeshangaa na kushtushwa.pakistan hii ninayoijua mimi.Marekani waliingiza chopper kwenda kumpiga Osama bila wao kujua.acha utani ndugu
Wewe ulivyo na Shobo sizani kama una marindaKama kawaida najua hapa JamiiForums kuna Watu Wajuvi ( Pundits ) kabisa wa Mambo haya na mbalimbali hivyo hamtoshindwa 'Kunielimisha' Mimi Ngumbaru ( Layman ) niliyetukuka.
Sina uhakika sana ila nimewahi kuona mahala ( katika Bandiko ) kuwa Majasusi ( Manjagu ) wa nchi ya Rwanda 'wanaogopeka' mno Ukanda huu kwakuwa Rwanda imeingia Makubaliano 'Maalum' ya kupeleka huko Watu wake ili 'wakapikwe' na 'wakaivishwe' vyema na Wayahudi ambao inasemekana kuwa ndiyo 'Mama' wa Sekta hii duniani.
Huo ni uongo ugomvi wa bar ukashike watu kibao kwa watu wawili tena nchi ya watu acheni chaiNi kweli kabisa mkuu miaka ya nyuma niliwai sima bandiko kuhusu "Mosadi" unaambiwa kati ya watu 100 mmoja tu huwa anakuwa amefaulu vizuri!
Pia unaambiwa kuna Ugaidi ulifanywa pale Club moja Israeli na watu wengi kupoteza maisha lakini unaambiwa Mosadi walituma watu wao wawili tu kuingia Lebanon,aaah siku tatu jamaa kibao wamedakwa!
Comment yako imejaa neno "Unaambiwa" umelirudia sana, sasa tuambie unaposema "Unaambiwa" una maanisha tunaambiwa na nani?Ni kweli kabisa mkuu miaka ya nyuma niliwai sima bandiko kuhusu "Mosadi" unaambiwa kati ya watu 100 mmoja tu huwa anakuwa amefaulu vizuri!
Pia unaambiwa kuna Ugaidi ulifanywa pale Club moja Israeli na watu wengi kupoteza maisha lakini unaambiwa Mosadi walituma watu wao wawili tu kuingia Lebanon,aaah siku tatu jamaa kibao wamedakwa!
Wanasema ni mazingira yao hasa ndio chanzo cha wao kuwa na akili kubwa... wamezungukwa na maadui kila kona... Hitler aliwapa funzo lililowafanya watumie akili za ziada kujikomboa toka maadui zao... documentary hiyo imejaa na imesheheni majasusi wa kiisrael wakihojiwa namna walivyowatafuta, kuwadhibiti, kuwakamata na kuwauwa maadaui zao...Imekataa Kufunguka nihadithie tu nijue.
Kuna mambo mawili hapa, kuanzishwa kwa Israel na kuanza kwa ujasusi ni mambo mawili tofauti, je kipi kilianza?Mkuu. mi nimetaja tu mwaka ambao Taifa la Israel limeanzisha, ni 1948.
Au nimesema uongo ndugu yangu?
Au Taifa la Israel halijaanzishwa mwaka 1948 kwa msaada wa Beberu Uingereza..?!
Huyu ni kapuku kama ww
Ukiangalia The Best intelligence of the world. Pakistan ni ya kwanza zaidi ya miaka kumi sasa, inafuatiwa na US halaf ndo Mossad.Kuna Mkuu alisema ni Bulgaria na Urusi.
Hujui
OK sasa hao wayaudi walitokea wapi
Tanzania ilianzishwa mwaka 1964.Kwa hiyo kabla ya hapo hawakuwepo watu Dar, Mbeya, Arusha, Morogoro na Lindi
Kwa hiyo kabla ya 1964,Hao Taifa jipya la Tanzania walitokea wapi?
Kuna vituko sana JF, Taifa likiundwa jipya kwa hiyo wale waliokuwepo sio wa asili ile tena