Ni kwanini wanaume munapenda sana kutu-discourage wanawake tupendao football?

Kuwa mpenzi wa club fulani haikuweki wewe kwenye position ya kuwa na akili kuliko wengine. Ni mapenzi ya dhati na ya ukweli.

Mimi ni fan wa manchester united na dar young africans

Halla

Sent using Jamii Forums mobile app
Upande mmoja akili zipo upande mmoja zimelala....am man utd fan and simba...karibu kwenye group letu kongwe la whatsapp na kubwa la masusla ya mpira tu, if interested.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishiiii..! Demu mwenyewe wa Manchester united..!

Pole nakutania ila ata mie sina mzuka na demu mpenda mpira anaboa huwa wengi wenu mna mambo ya kiume mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dem mpenda mpira huwa anakua zaidi ya mpenzi nikama.mshikaji yaan na anakua na mizuka sana .

Nzuri iyo
 
Ishiiii..! Demu mwenyewe wa Manchester united..!

Pole nakutania ila ata mie sina mzuka na demu mpenda mpira anaboa huwa wengi wenu mna mambo ya kiume mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
halafu hebu kuwa na heshima bwana. usiniite tena demu, call me hata dada bwana.
na hiyo ni wrong perception. usihukumu generally kwa case ulizokutana nazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…