Ni kwanini wanaume wafupi wanakuwa ni wakorofi.?

Ni kwanini wanaume wafupi wanakuwa ni wakorofi.?

bishontongo

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
239
Reaction score
223
Nilikuwa nikitafakari hivi wanaume wafupi kwanini uwa wakorofi? Masaa yote uisi wanawake ni kuwabanabana. Mda wote ulalamika sana ni kwamba hawajiamini nn! Na mie nilisha sema siitaji mwanaume mfupi kulingana na tabia zao! Anaweza akakutukana na kishaanataka aonekane yeye ndo yeye tena ukiomba msamaha ndo kama umepalilia ugomvi em nambie nikweli au mawazo yangu yananidanganya?
 
Kwa anae hitaji mwanamme mrefu ani Pm
 
Nilikuwa nikitafakari hivi wanaume wafupi kwanini uwa wakorofi? Masaa yote uisi wanawake ni kuwabanabana. Mda wote ulalamika sana ni kwamba hawajiamini nn! Na mie nilisha sema siitaji mwanaume mfupi kulingana na tabia zao! Anaweza akakutukana na kishaanataka aonekane yeye ndo yeye tena ukiomba msamaha ndo kama umepalilia ugomvi em nambie nikweli au mawazo yangu yananidanganya?
bishontongo wa The Citizen.....
 
Mbegu fupi ni headache kila idara... Hata kwenye mpira kimessi lionel simunaona kilivyo
 
MTU yoyote mfupi co mwanaume co mwanamke wote wakorofi na wanapenda kubishana na warefu
 
Nilikuwa nikitafakari hivi wanaume wafupi kwanini uwa wakorofi? Masaa yote uisi wanawake ni kuwabanabana. Mda wote ulalamika sana ni kwamba hawajiamini nn! Na mie nilisha sema siitaji mwanaume mfupi kulingana na tabia zao! Anaweza akakutukana na kishaanataka aonekane yeye ndo yeye tena ukiomba msamaha ndo kama umepalilia ugomvi em nambie nikweli au mawazo yangu yananidanganya?
 
Nilikuwa nikitafakari hivi wanaume wafupi kwanini uwa wakorofi? Masaa yote uisi wanawake ni kuwabanabana. Mda wote ulalamika sana ni kwamba hawajiamini nn! Na mie nilisha sema siitaji mwanaume mfupi kulingana na tabia zao! Anaweza akakutukana na kishaanataka aonekane yeye ndo yeye tena ukiomba msamaha ndo kama umepalilia ugomvi em nambie nikweli au mawazo yangu yananidanganya?
wanahisi wanadharauliwa!hususan akipata mpenzi mrefu kumzidi!
 
Nilikuwa nikitafakari hivi wanaume wafupi kwanini uwa wakorofi? Masaa yote uisi wanawake ni kuwabanabana. Mda wote ulalamika sana ni kwamba hawajiamini nn! Na mie nilisha sema siitaji mwanaume mfupi kulingana na tabia zao! Anaweza akakutukana na kishaanataka aonekane yeye ndo yeye tena ukiomba msamaha ndo kama umepalilia ugomvi em nambie nikweli au mawazo yangu yananidanganya?
wanahisi wanadharauliwa!hususan akipata mpenzi mrefu kumzidi!
 
Sisi wafupi tutanyoosha maelezo, ila mimi ninavyojua ni tabia tu ya mtu, makuzi, uwezo wa kuchanganua mambo na uzoefu unachangia katika hizo tabia za ukorofi au la.
Jana kuna jamaa kanywa sumu kisa kumng'ang'ania mwanamke na huyu jamaa ni kawaida yake kuanzisha hadi ugomvi na jamaa ni mrefu.

Kama kuna mtu anaishi Mwananyamala kwa Kopa ataback up maelezo yangu.
 
Nilikuwa nikitafakari hivi wanaume wafupi kwanini uwa wakorofi? Masaa yote uisi wanawake ni kuwabanabana. Mda wote ulalamika sana ni kwamba hawajiamini nn! Na mie nilisha sema siitaji mwanaume mfupi kulingana na tabia zao! Anaweza akakutukana na kishaanataka aonekane yeye ndo yeye tena ukiomba msamaha ndo kama umepalilia ugomvi em nambie nikweli au mawazo yangu yananidanganya?
Na akili zao nazo ni fupi.
 
Back
Top Bottom