Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuu videm viemoro navyo ni pasua kichwahata wanawake wafupi wapo ivo...
nasikia nikutojiamini.
Sio kudharau, yamemkuta huyo jamaa ka-hit n run ndio demu kaamua aje amalizie hasira humuHiyo ni tabia tu, mtu yeyote anaweza kuwa nayo. Acha ubaguzi sio kila mfupi ni mkorofi.
Mbona hata warefu ni wakorofi vilevile.?
Alafu inaonekana wewe unatabia ya. kuwadharau ndio mana.
[emoji3] [emoji3] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Inferiority complex....
Ukiwa chama cha CHAOTA lazima uwe automatically kwenye chama cha wenye VIBAMIA...
We ndio muhaya orijino.ahaha ahahah aa..
mkuu ujafanya research ya kutosha, binafsi mm ni double special (yaani secondary nimesoma special school, kwa O-level na A-level) na mrefu pia, ila top ten zote za shuleni nilizopitia, walikuwa hawa jamaa wafup ase, hata chuo waadhiri wangu wengi walikuwa wafupi, yaani malecturer na wanataaluma....
mfano mfup Prof Mkandala, kuna DVC academic Prof Maboko, DOS (director undergraduate studies) Prof Mushi, late Prof Mutta (geologist), Prof Muhongo, Prof Tibaijuka, Prof Ndalichako, Eng Balozi John Kijazi, Prof John (Coet), Prof Egidius, Prof Kyahalala..
hawa jamaa wapo smart sana, na huwa wana akili sana, kuna prof mmoja class, alishawahi kutwambia kuwa watu wafupi wanaakili sana Duniani, akitolea mfano wa mataifa yaliyoendelea sana kiuchumi, Mf Uchina, Japan, Uingereza, na ulaya yotr ya Magharibi mfano Spain n.k
hawa watu misimamo na maamuzi yao huwa inawafanya watu wengine wawaone kama ni wakorofi, Mfano Rais mstaafu Benjamin Mkapa, Magufuli n.k, hasa ukiwa akili yako ina-load taratibu, ukakutana na hawa watu (hasa awe boss wako), kiukweli utawaona ni wakorofi coz they are staraight...
pili na kaka yangu mfupi, ila academical ni shida, alipata GPA ya 4.8 ya BCOM mlimani, sa hv yupo zake TRA anakula bata na kuku, na mademu wa refu na wazuri anayewataka yeye na wanafuta misimamo yake
mm binafsi natamani ningekuwa mfupi, nadhani ningekuwa na uwezo mkubwa sana,coz mijadala mingi ya kiofisi na utunguji wa sera, hwa jamaa huwa wanadominate, they are too smart
nikija kuwa na maitaji ya mtot, nitaoa au kucross na wanawake wafupi ili nipate mtoto wa saizi ya kati au mfupi kiasi, coz nawakubali sana watu wafupi, kwenye 10, 8 huwa wanauwezo wa kitaaluma
Mmh nahisi namjua ofisin kwetu naye yupo wa hivyo isije kuwa ofisi ni hiyo hiyo..!Kuna mmoja mfupi tunafanya naye kazi ni mbea mnafiki anapenda kujipendekeza yaani utadhani shoga
Nilikuwa nikitafakari hivi wanaume wafupi kwanini uwa wakorofi? Masaa yote uisi wanawake ni kuwabanabana. Mda wote ulalamika sana ni kwamba hawajiamini nn! Na mie nilisha sema siitaji mwanaume mfupi kulingana na tabia zao! Anaweza akakutukana na kishaanataka aonekane yeye ndo yeye tena ukiomba msamaha ndo kama umepalilia ugomvi em nambie nikweli au mawazo yangu yananidanganya?