Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoleSijapenda kabisa utafiti wa leo
Hapa wafupi tumeonewa
home boy sijakuelewa, mbona walio wengi ni warefu mkuu, au ulikuwa unamjibu mtoa maadaDah mnatuonea sana wafupi,
Utafiti mwingine usio rasmi unaonesha dereva bodaboda wengi ni wafupi
alafu kwann usijaribu kubadilisha size, inawezekana nyota yako ni wanaume wafupi, au pia na wewe unashida na hawa watu..Nilikuwa nikitafakari hivi wanaume wafupi kwanini uwa wakorofi? Masaa yote uisi wanawake ni kuwabanabana. Mda wote ulalamika sana ni kwamba hawajiamini nn! Na mie nilisha sema siitaji mwanaume mfupi kulingana na tabia zao! Anaweza akakutukana na kishaanataka aonekane yeye ndo yeye tena ukiomba msamaha ndo kama umepalilia ugomvi em nambie nikweli au mawazo yangu yananidanganya?
Tena akiwa mfupi awe namatege ni baraaahata wanawake wafupi wapo ivo...
nasikia nikutojiamini.
Ukiwa chama cha CHAOTA lazima uwe automatically kwenye chama cha wenye VIBAMIA...Mimi nami nimfupi kabisa lakini sijawahi kuwa na tabia na ukorofi.
Naupenda Ufupi Wang coz ndio unanifanya niwe kama nilivyo.
Utafiti wako kwa kiasi kikubwa ni kweli ya kuwa Wafupi wengi wao ni wakorofi sana na wanapenda vurugu.
Kwa wanaopenda Omolo mnaweza kuniPM.
Chama cha Omolo Tz
CHAOTA.
Kwa hisani ya Kiumeni