Ni kwanini wanaume wanakufa mapema kuliko wanawake?

WANAUME WANAMUFA SANA KULIKO WANAWAKE NI KWA SABABU WANAWAKE HAWAJAO WANAWAKE.sijui mmenielewa lakinj?
 
Mkuu uko sahii kabisa
 
Tunapunguza sumu kwa kwenda juani,nyie sijui mpaka mpigwe nondo ya kichwa ndo mnableed
 
Wanaume tunafanya kazi ngumu sana,hata hao ulio wataja hapo uwe ofisini au sio ofcn unatumia akili nyingi kuhakikisha maisha ya familia au ofisini yanaendelea, hao wanawake ulio wataja hapo chunguza kazi zao
 
Inasemekana maswala kama ya Umalaya, kuchanganya damu za wanawake tofauti tofauti, ulevi, kazi ngumu, misongo ya mawazo n.k

Sasa yakitokea kwa pamoja hayo kwa wakati mmoja ni shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…