sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Et puis? Et alors?Hasa wasukuma, wanyakuisa, wanyamwezi,
kwani kuwa na mtoto mweusi ni laana ?Kwasababu mweusi kwa mweusi mtazaa kamera au mchuzi wa tairi.
Ww ni laana, umelaanika.kwani kuwa na mtoto mweusi ni laana ?
Mwanamke mweupe anapenda mwanaume mweusi yaan, naniliu nyeusi tamuu yaan balaaView attachment 2838970
Na hili nimeshuhudia kwa marafiki zangu wengi weusi, rangi nyeupe zinawazuzua mno, KWANINI?
Binafsi mimi ni mwanaume mweupe, kusema kweli katika maisha yangu hasa ya ujana nilipenda zaidi wanawake bila kujali kigezo cha rangi japo hawa weusi ndio nimewahi kuwa nao wengi zaidi kwenye maisha ya mahusiano yangu kwasababu miaka mingi niliishi Mbeya na mji umejaa wanyakyusa ambao wengi ni weusi.