Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #41
Unataka majibu gani tena.Ndiyo maana tunafurahi yakiwakuta kutokana na majibu yenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka majibu gani tena.Ndiyo maana tunafurahi yakiwakuta kutokana na majibu yenu
Wewe si unasema unasubiri anguko langu.ndio nimekuuliza anguko katika nini??????Kumbe hata hujui ulichoandika
Hopeless
Huko shule ulienda kusomea niniWewe si unasema unasubiri anguko langu.ndio nimekuuliza anguko katika nini??????
Unataka ufanyeje????????????Huko shule ulienda kusomea nini
Sababu kubwa ni kwamba anapokuwa madarakani haoni shida za wengine.Ndugu zangu Watanzania,
Mimi Lucas Mwashambwa nikiri kwa moyo wa dhati kabisa pasipo unafiki wa aina yoyote ile ya kuwa ni mtu ambaye hufurahia mafanikio ya mtu,kupanda kwa mtu kiuchumi,kupata mafanikio katika maeneo mbalimbali.mimi nikiona mtu wa karibu yangu au niliyekuwa namfahamu au kusoma naye amepata kazi au ajira au kuinuka kiuchumi au kupata mafanikio katika eneo fulani au amekua na kuimarika kibiashara.
Huwa ninafurahi sana na kumuombea sana.huwa naona kabisa kumbe inawezekana kabisa mtu yeyote kufanikiwa ikiwa tu utafanya kazi kwa bidii, juhudi, maarifa na kujituma kwa hali ya juu sana pasipo kuleta ujuaji au kuchagua kazi. Huwa nina kuwa na imani kuwa unaweza kuwa yeyote yule na uchumi wa aina yoyote ile au kumiliki kitu chochote kile au kuwa na mali za halali kabisa za kiasi chochote kile wakati wako ukifika.
Sasa huwa nashangaa sana na kuumia sana na kusikitika sana na kuwaza mengi sana na kujisikia vibaya sana na kusononeka sana napoona watanzania wenzangu wakifurahia na kuchekekelea pale wanapoona mtu fulani aliyekuwa ni tajili au mwenye uchumi mkubwa na wa halali ameshuka na kuyumba.
Unakuta mtu alikuwa anasaidia sana Watu na kujitolea vizuri sana kwa watu mbalimbali wenye shida na matatizo bila kujali ni ndugu au siyo ndugu, lakini siku akifirisika tu unaanza kuona watu walewale waliokuwa wanasaiidiwa wanaanza kumcheka pembeni na kumsema vibaya Majungu ya kila aina.unajiuliza shida ni nini?
Je mtu akifirisika inanifanya vipi mimi Lucas Mwashambwa na umasikini wangu kuwa tajiri na kuinuka kiuchumi ikiwa sifanyi kazi na kujituma? Wewe mtanzania mwenzangu mwingine unayefurahia kushuka kiuchumi kwa mtu mwingine unafaidika vipi na anguko lake?
Unakuta pia leo mtu anaondolewa leo kwenye nafasi yake ya uteuzi halafu watu wanajitokeza na kuanza kushangilia na kufanya sherehe ,halafu mtu yule yule akirudishwa tena kesho unakuta watu walewale wanaanza kujipendekeza na kujiuma uma kwa aibu na unafiki. Shida yetu nini watanzania wenzangu?
Kwanini hatuombeani mema? Kwanini hatuombeani baraka na neema?kwanini tunaombeana mabaya? Ndugu zangu ikiwa kwa maombi yako mimi nitasimama tena basi niombee na siyo kunicheka au kumcheka mtu.
Imefika wakati naona watu mitaani wanaona wivu hata mtu akiona Binti wa jirani yake amepata mchumba na kuolewa.utasikia mama mzima na akili yake na mwenye watoto akitamka kuwa huyo haendi kudumu kwenye ndoa yake na ni lazima ataachika. Ukiangalia nini shida unakuta ni wivu tu wa kijinga jinga tu kwa sababu yeye watoto wake hawajaolewa.
Inafika wakati unasikia watu mpaka wanakwenda na kujiingiza kwenye imani za kishirikina ili tu kumharibia maisha mtu au biashara yake au kazini kwake ili tu asiendelee kuwepo katika nafasi aliyopo.tuacheni kabisa tabia hizo ndugu zangu. Tuwe na mioyo ya kupendana na kuombeana mema na heri. Tuache mioyo ya wivu na chuki za kijinga jinga.nimekutana na haya mambo ndio maana naandika kwa uchungu mkubwa sana juu ya jambo hili.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni kweli kabisa ila hutomjua until it’s done 😅🤦🏽♂️Mtajuana wenyewe huko
Kwani hujuwi kuwa mtz ni mtu mwwnye roho mbaya
Ova
Hujaona watu wakisaidia Watu kwa hali na mali na kuwa na marafiki wengi lakini wakitoka tu madarakani unaona marafiki wote wanapotea na kuanza kupiga Majungu.Sababu kubwa ni kwamba anapokuwa madarakani haoni shida za wengine.
Shida yenu ni civil services very weak.Hizo ni dalili za uvivu na umasikini. By nature watanzania wengi ni wavivu wa kufikiri na hata kufanya kazi, ndio maana utashangaa kuona nchi kubwa kama hii yenye mito na maziwa ya kutosha bado kuna watu wanaishi kwenye lindi la umasikini wa kutupwa na wakisumbuliwa na njaa.
Tuachane na roho hizo maana haziwezi kutusaidia kujikwamua kiuchumi wala kusonga mbele kimaendeleoWengi wetu tuna roho za kichawi.
A game of the endowed and highly intelligent players..Usalama wa taifa ni mchezo wa watu wenye akili tu
Umenena ukweli kabisaKuna wakati najiuliza kama hapa nilipo ni duniani au KUZIMU.
Watu ni wachawi aiseee, ni vile tu hawapai na matunguli lakini ni wachawi konki.
Nashukuru Mungu Matunguli yamepanda bei maana wangetumaliza.
Wivu ni mkali, hata ukivaa shati jipya wanatamani wakumalize khaaa